Mkataba wako hauna "confidentiality clause" hii post yako ukikutana na wanywanywa inatosha kukukuzisha kazi.Ndugu, hukupaswa kujibu namna hiyo hata kidogo. Kama unadhani natania nimepata kazi pale Haven Peace Academy ( HOPAC) mkoa wa Dar es salaam maeneo ya Tegeta ( Mbuyuni) Kama ni wivu basi endelea kuwa nao. Tena nakushangaa unanionea wivu mimi mtu usiyenijua. [emoji13]
Chili basi mzee😀😀Mkataba wako hauna "confidentiality clause" hii post yako ukikutana na wanywanywa inatosha kukukuzisha kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa bado sijapata kijoti cha gogo,wengine mpk tupige gongo (kitu cha Nipa )angalau hata kijoti kimoja ndio akili ikae sawa.....🤣 🤣 🤣 🤣Sasa kwanini hukujibu mwanzo ukaanzia kupuliza mabangi yako 😂😂😂
Kudaddeki Ndo mana watu wanasema mshahara hautoshi. Jinsi mshahara unavokua mkubwa na makato yanaongezeka maradufuKwa watumishi wa serikali wana contribute 5% na mwajiri ana contribute 15% kufikia 20% kwa mfuko wa hifadhi ya jamii ,wakati sisi sekta binafsi tunachangia 10% muajiri anaweka 10% kama kawaida.
Payee unaweza ipata kwa kucalculate kiasi unachochangia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.
Let say upo mfuko X ambao unachagia 10% kwnye hifadhi ya mfuko wa jamii,therefore utachangia Tsh 325,000/= kutoka kwenye mshahara wako wa 3.25M.
If you want to know the payee by referring TRA calculator then utachukua ( Salary
-325,000/=) you get 2,925,000/= then plug this figure to tra calculator to get payee as 756,900/=
Alternatively
Payee=98,100+30%(Payable Tax-720,000).Meza hiyo.
=98,100+0.3(2925000-720,000)
Therefore payee is 756,900/=
=3,250,000-756,900
Salary is 2,493,100/= before further deduction to
NHIF=6%
Loan Board=15%
Others
Mshahara ni kama chupi au boxer, jinsi mtu unavyoongezeka mwili ndio inazidi kukubana.Kudaddeki Ndo mana watu wanasema mshahara hautoshi. Jinsi mshahara unavokua mkubwa na makato yanaongezeka maradufu
Sent From Galaxy S9
Kwa utungaji huu wa swali kupata huo mshahara siyo rahisi hakyamungu maana hii ni kama kuuliza Ijumaa kuu itakuwa siku ganiHabari ndugu,
Najikita moja kwa moja kwenye swali, Mshahara wa 3.25M Take home ni Shilingi ngapi including HESLB (board)?
Bonge la Mshahara (basic salary)Kwa watumishi wa serikali wana contribute 5% na mwajiri ana contribute 15% kufikia 20% kwa mfuko wa hifadhi ya jamii ,wakati sisi sekta binafsi tunachangia 10% muajiri anaweka 10% kama kawaida.
Payee unaweza ipata kwa kucalculate kiasi unachochangia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.
Let say upo mfuko X ambao unachagia 10% kwnye hifadhi ya mfuko wa jamii,therefore utachangia Tsh 325,000/= kutoka kwenye mshahara wako wa 3.25M.
If you want to know the payee by referring TRA calculator then utachukua ( Salary
-325,000/=) you get 2,925,000/= then plug this figure to tra calculator to get payee as 756,900/=
Alternatively
Payee=98,100+30%(Payable Tax-720,000).Meza hiyo.
=98,100+0.3(2925000-720,000)
Therefore payee is 756,900/=
=3,250,000-756,900
Salary is 2,493,100/= before further deduction to
NHIF=6%
Loan Board=15%
Others
Ni kama kuna mzungu moja ameitwa interview ikanipigia simu akaniuliza kuhusu hili kampuni kwani anajua nilikuwa naifanyia kazi. Nilimoa mawili matatu baadae akaanza kushangaa pesa nilikuwa nalipwa yaani akaoba haiwezekani kwa mtanzania kulipwa hicho kiwango. Yaani nilimshangaa sana. Sasa ndio kama huyu jamaaMhh. yaani hiyo gross ya 3.5 Million ndo umeona ni hela kwamba mtu hawezi pata?
Hivi unapata wapi mda wa kubishana na dalali anaetegemea buku 10 ya kuonesha watu nyumba za kupangaNdugu, hukupaswa kujibu namna hiyo hata kidogo. Kama unadhani natania nimepata kazi kwenye reputatory INSTITUTION iliyoko mkoa wa Dar es salaam. Kama ni wivu basi endelea kuwa nao. Tena nakushangaa unanionea wivu mimi mtu usiyenijua. [emoji13]
Mshahara ni siri ya kufukuzisha mtu kazi. Au ni matumizi mabaya ya neno confidentiality?Mkataba wako hauna "confidentiality clause" hii post yako ukikutana na wanywanywa inatosha kukukuzisha kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app