Ndugu wana lawama sana

Ndugu wana lawama sana

Bodhichitta

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
315
Reaction score
762
Aslaam,

Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,

Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.

Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.

Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yeye nusu nyingine nikabaki nayo.

Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.

Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.

Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?

Wakati huo kuna sehemu nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.

Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
 
Ndugu Mostly ndo walivyo. Hasa kama unatoka kwenye hizi familia zetu za Hali ya kawaida.

Mm siwezi kumshirikisha ndugu kwenye hustlers zangu, Kwa jamii yetu ya kiafrika ni ngumu, uwezekano wa ndugu kukuangusha ni mkubwa mno.

Wengi hawana nidhamu, Wana dharau na mazoea kiasi kwamba ni ngumu kufanya biashara na ndugu.

Fanya biashara na mtu Baki ili hata akiharibu unalala nae mbele Kwa mbele.
 
Mi hata hatujagawana,shida zote ninazo ni kwa ajili yao.
Nimewapa chote nilichokua nacho nao niliwaambia kijanja tu nawakopesha hizo hamna aliyelipa senti kumi.
Ndo kwaanza wanataka tena.
Nimewaambia nimekufa ili waache kunisumbua.
Bado kuna misscall, zaidi ya 10 kila siku na sio kuuliza angalau mwili wako utakuja lini tuupokee.
Kizinga tena🥲
 
Ndugu Mostly ndo walivyo. Hasa kama unatoka kwenye hizi familia zetu za Hali ya kawaida.

Mm siwezi kumshirikisha ndugu kwenye hustlers zangu, Kwa jamii yetu ya kiafrika ni ngumu, uwezekano wa ndugu kukuangusha ni mkubwa mno.

Wengi hawana nidhamu, Wana dharau na mazoea kiasi kwamba ni ngumu kufanya biashara na ndugu.

Fanya biashara na mtu Baki ili hata akiharibu unalala nae mbele Kwa mbele.
Mwanzo wanakuwa na nidhamu balaa wakizoea kazi ufanisi unapungua wanafanya kimazoea tena si ajabu akataka usawa katika mapato unaweza muagiza kazi akaona unamdharau tena kama amekuputa umri ndo kabisaaa..Atafanya anavyotaka yeye ukimkosoa au kumuuliza atakasirika na kuona unamdharau kwa kuwa hana kitu..tena hawa wanakuaga wabaya hawa anajua kona zote za pesa na ndo wanakuja kudhulumu mali likitokea lollote bila huruma
 
Aslaam,

Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,

Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.

Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.

Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yy nusu nyingine nikabaki nayo.

Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.

Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.

Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?

Wakati huo kuna sehem nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.

Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
Kufanya na ndugu ni kama ukoko na sufuria Yan lazima katikati kitakuwa jeusi tu
 
Aslaam,

Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,

Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.

Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.

Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yeye nusu nyingine nikabaki nayo.

Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.

Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.

Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?

Wakati huo kuna sehemu nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.

Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
Hana shukrani na ni mgombanishi na mchonganishi..na alivyo bwege kuna siku atakurudia
 
Mi hata hatujagawana,shida zote ninazo ni kwa ajili yao.
Nimewapa chote nilichokua nacho nao niliwaambia kijanja tu nawakopesha hizo hamna aliyelipa senti kumi.
Ndo kwaanza wanataka tena.
Nimewaambia nimekufa ili waache kunisumbua.
Bado kuna misscall, zaidi ya 10 kila siku na sio kuuliza angalau mwili wako utakuja lini tuupokee.
Kizinga tena🥲
Ni noma mkuu ninakuelewa maana ninapitia hicho hicho hapa. Ngoja niishie hapa ila ninapata stress kinoma maana yote ninayofanya najua mwisho bado itakwua lawama.
 
Aslaam,

Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,

Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.

Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.

Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yeye nusu nyingine nikabaki nayo.

Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.

Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.

Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?

Wakati huo kuna sehemu nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.

Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
MAKUBALIANO YALIKUWA MNAGAWANA VIPI FAIDA?
 
Back
Top Bottom