ππππpole sana hao ndio ndugu kuipata kwake sasa iyo pesa unaanzaje anzaje kwamfanoNilipambana mkuu kufanya kazi nikampatia ndugu yangu pesa anihifadhie siku nakuja hitaji hakunipa hata mia mbovu pesa yote katatulia shida zake.
ACHA UBWEGE MKUU!!!Nilipambana mkuu kufanya kazi nikampatia ndugu yangu pesa anihifadhie siku nakuja hitaji hakunipa hata mia mbovu pesa yote katatulia shida zake.
Najua hawezi kunilipa mkuu na hata akinilipa si yote kama nilivyomkabidhiππππpole sana hao ndio ndugu kuipata kwake sasa iyo pesa unaanzaje anzaje kwamfano
Mkuu ni kweli nilitenda kosa na nimejifunza.ACHA UBWEGE MKUU!!!
UNAMPAJE HELA YAKO MTU MWINGINE AKUHIFADHIE?!?!
DAAAAAAAH!!!
UNAKWAMA WAPI MKUU?!?!
Sent using Jamii Forums mobile app
"Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;"Kumb.la torati 23:19
Pole sana Mkuu...jifunze kutunza pesa mwenyewe...ugumu uko wapi?...kwa nini usiweke pesa bank!...au hata kwenye simy yako basi...hivi ikitokea bahati mbaya huyo Ndugu akafariki inakuaje?Nilipambana mkuu kufanya kazi nikampatia ndugu yangu pesa anihifadhie siku nakuja hitaji hakunipa hata mia mbovu pesa yote katatulia shida zake.
Nimejifunza mkuuPole sana Mkuu...jifunze kutunza pesa mwenyewe...ugumu uko wapi?...kwa nini usiweke pesa bank!...au hata kwenye simy yako basi...hivi ikitokea bahati mbaya huyo Ndugu akafariki inakuaje?
Hapa ulikuwa unamuuliza kijanja kama akishindwa kulipa atatoa mzigo???Hahahah kuna kademu jion kamenitext..
Mambooo
Uko poa mkakaa.
Niazime Laki moja hapa.
Nikakajibu ivi
"(Hahahaha nyinyi mkiazimishwa au kukopeshwa Huwa hamrudishi ,Bahati mbaya wewe sio mpenzi wangu niseme naweza kusamehe Ila nikala mzigo.)"
Alafu kuna haka Ka tabia, Unakuta demu mshaachana, yaan ni Ex Ila anataka kukupiga kirungu...( daaahhh tunatiana dhambi nakuonekana wabaya).
Kamenikaushia ...namm nmechukulia poa tu ili mradi sijapoteza !!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ulikuwa unamuuliza kijanja kama akishindwa kulipa atatoa mzigo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwazoeshe kuwapa kila wanapoitaji wakati usihofie wambie sinawengine mioyo yetu milaini sana hatuwezi kunyima ndugu wanapohitaji msaada...yaani kama ndo una kaakiba chako hlf mtu anakulilia shida, unaona roho inakusuta usipompa huku ukijua kuwa akiba ipo kdg japo we mwenyewe haikutoshelezi
Na mbaya ni kwamba hata ndugu umsaidie kila atapohitaji msaada, siku ukimwambia sina basi utaonekana mbaya au umeanza roho mbaya, au utaonekana umewachoka..
Kweli ndugu lawama...na ukiwaendekeza kweli wanarudisha nyuma, sema kwa kuwa Mungu kakujaalia chochote kitu huna budi uwabariki watu wake pia...
Naichukua hiiAkikuomba ela mwambie matumiz ambayo hayan faida hachana nayo iyo nilifundishwa na mzee tang nkiwa mdg had sas naelekea kuziishi ndot zang
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel mkuu wakigang'ania kukuomba wambie bado nakimbia naomba msinivute miguuNaichukua hii
sawa mkuuKwel mkuu wakigang'ania kukuomba wambie bado nakimbia naomba msinivute miguu
Sent using Jamii Forums mobile app