Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Poleni sana aiseee.


Mimi dada yangu kabla ya kuoa nilikuwa nampa pesa yangu ya upatu aniwekee maana nikikaa nazo mara ntanunua vitu nisivyokuwa na bajeti navyo.

Nakumbuka akaniwekea pesa zangu zaidi ya milioni tigopesa baada ya mda nikazihitaji nikaenda kutafutia ardhi na kutolea mahari.

Alinitunzia ile pesa na yeye sio tajiri siku ingine ya kula inampiga chenga,ila hakunidhulumu hata mia moja.

Ndio maana nasema haya mambo hayana formula pengine ndugu yako akakuliza na mwingine akakusaidia.

Muhimu mtu aangalie hali ya ndugu,kama anatunza amana basi sio mbaya na kama hatunzi usimpe

Hata mke na mume mtu aangalie kama anatunza ampe kama hatunzi amana asimpe
Huyu ndugu yangu alikuwa muanifu nimewahi kuweka pesa kwake mara tatu ila safari hii kanifundisha
 
Poleni sana aiseee.


Mimi dada yangu kabla ya kuoa nilikuwa nampa pesa yangu ya upatu aniwekee maana nikikaa nazo mara ntanunua vitu nisivyokuwa na bajeti navyo.

Nakumbuka akaniwekea pesa zangu zaidi ya milioni tigopesa baada ya mda nikazihitaji nikaenda kutafutia ardhi na kutolea mahari.

Alinitunzia ile pesa na yeye sio tajiri siku ingine ya kula inampiga chenga,ila hakunidhulumu hata mia moja.

Ndio maana nasema haya mambo hayana formula pengine ndugu yako akakuliza na mwingine akakusaidia.

Muhimu mtu aangalie hali ya ndugu,kama anatunza amana basi sio mbaya na kama hatunzi usimpe

Hata mke na mume mtu aangalie kama anatunza ampe kama hatunzi amana asimpe
mkeo bado upo nae?
 
Huyu ndugu yangu alikuwa muanifu nimewahi kuweka pesa kwake mara tatu ila safari hii kanifundisha

Ila kama umeolewa si bora ushirikiane na mumeo kuweka..
Kama mume nae kivuruge basi tafuta akaunti uweke utulie zako tu mkuu.

Haina ulazima kuweka pesa kwa ndugu.

Mimi mwenyewe siweki tena pesa kwa Ndugu kwa sababu nina maamuzi yangu mwenyewe sihofii labda matumizi makubwa.
 
Kwa nini watu mnaigopa pesa kiasi hiki? Au ndio yale maonyo ya wazazi kuwa pesa ni mbaya?.Yaan mtu mzima unashindwa kutafuta namna bora ya kuhifadhi pesa zako hadi una mkabidhi ndugu yako akutunzie?.

Kweli kuna haja ya mitaala kuongezewa mambo ya fedha.
Trust no one and suspect every one with your hard earned money.

Hakikisha wewe ndio unakuwa mtu wa kwanza kuwa na mamlaka na pesa yako.
Hakikisha kinachoingia kisiwe=na kinachotoka .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini watu mnaigopa pesa kiasi hiki? Au ndio yale maonyo ya wazazi kuwa pesa ni mbaya?.Yaan mtu mzima unashindwa kutafuta namna bora ya kuhifadhi pesa zako hadi una mkabidhi ndugu yako akutunzie?.
Kweli kuna haja ya mitaala kuongezewa mambo ya fedha.
Trust no one and suspect every one with your hard earned money.
Hakikisha wewe ndio unakuwa mtu wa kwanza kuwa na mamlaka na pesa yako.
Hakikisha kinachoingia kisiwe=na kinachotoka .

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwasomo
 
Wanao saidia kukupandisha ni akina nani?
Salaaam.

Usimwamini ndugu yako kwenye kuweka akiba. Maisha ni kuishi na ili uishi vizuri unatakiwa utimiziwe maitaji au ujitimizie mwenyewe.

Kuweka akiba ya pesa na thamani ni moja katika jitihada ya kutaka kujitimizia maitaji yako hapo badae. Katika watu wanaorudisha nyuma kufikia malengo ni ndugu,jamaa na marafiki wakishajua umejiwekea kiasi fulani iwe bank au nyumbani watakuja kukukopa tu wakijua uwezi wanyima wanalalamika na shida zao mbalimbali,ukilazimika kuwasaidia toa pesa ambayo haitakuithiri na kulalamika kwa namna yoyote.

Usimpatie ndugu kiasi chochote kwa kumwamini atakutunzia kwakuwa wewe huwezi unahofia utatumia hakika na yeye pia ataitumia akiwa na matatizo yake. Hakikisha iwe siri yako usimwambie mtu yoyote zaidi ya 1 au 2 tu unaowaanini angalau 85% na iwe kwa ajili kama itatokea dharura yakupoteza maisha au kuugua.

Ndugu ni adui hai kwenye uchumi wako ishi nao kwa makini watakuyumbisha,ni ngumu kumdai ndugu yako wakaribu kiasi chapesa kwanguvu zote utaona aibu tu na utaonekana hauna utu ata kidogo. Tuwe makini na ndugu zetu katika kukuza vipato vyetu.

Tujitaidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom