Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Mkuu mbona Kama unanisema hivi nimemkopa ndugu yangu laki tano duu! Nimedai naambiwa mi Sina utu!! Na familiar nzima imenigeuka Bora kuishi kivyakovyako!! Yaani ninahasira hela ya mtaji ndo hiyooo! Siipati Tena nimeamua kuanza na hi iliyopo! Mbaya zaidi mke ananibana hela iko wapi sikumshirikisha. Naiona dunia chungu Sana
 
Mkuu mbona Kama unanisema hivi nimemkopa ndugu yangu laki tano duu! Nimedai naambiwa mi Sina utu!! Na familiar nzima imenigeuka Bora kuishi kivyakovyako!! Yaani ninahasira hela ya mtaji ndo hiyooo! Siipati Tena nimeamua kuanza na hi iliyopo! Mbaya zaidi mke ananibana hela iko wapi sikumshirikisha. Naiona dunia chungu Sana
pole sana mueleze mkeo kuwa mpole na iwe funzo siku ingine mshilikishe na ukiweza samehe deni itakuwa umejijenga ndugu ni bora umpatie pesa usimdai
 
Salaaam.

Usimwamini ndugu yako kwenye kuweka akiba. Maisha ni kuishi na ili uishi vizuri unatakiwa utimiziwe maitaji au ujitimizie mwenyewe.

Kuweka akiba ya pesa na thamani ni moja katika jitihada ya kutaka kujitimizia maitaji yako hapo badae. Katika watu wanaorudisha nyuma kufikia malengo ni ndugu,jamaa na marafiki wakishajua umejiwekea kiasi fulani iwe bank au nyumbani watakuja kukukopa tu wakijua uwezi wanyima wanalalamika na shida zao mbalimbali,ukilazimika kuwasaidia toa pesa ambayo haitakuithiri na kulalamika kwa namna yoyote.

Usimpatie ndugu kiasi chochote kwa kumwamini atakutunzia kwakuwa wewe huwezi unahofia utatumia hakika na yeye pia ataitumia akiwa na matatizo yake. Hakikisha iwe siri yako usimwambie mtu yoyote zaidi ya 1 au 2 tu unaowaanini angalau 85% na iwe kwa ajili kama itatokea dharura yakupoteza maisha au kuugua.

Ndugu ni adui hai kwenye uchumi wako ishi nao kwa makini watakuyumbisha,ni ngumu kumdai ndugu yako wakaribu kiasi chapesa kwanguvu zote utaona aibu tu na utaonekana hauna utu ata kidogo. Tuwe makini na ndugu zetu katika kukuza vipato vyetu.

Tujitaidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa.
Siku zote, maisha ukimsaidia ndugu, jamaaa na rafiki. Akitusua hatokukumbuka fadhila zako hata kidogo. Na mara nyingi ukimsaidia mtu akitoka wewe uliesaidia lazima maisha yashuke kwa sababu ulitumia pesa yako katika msaaada badala ya kuwekeza, naongea haya kwa sababu yamenikuta mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana mueleze mkeo kuwa mpole na iwe funzo siku ingine mshilikishe na ukiweza samehe deni itakuwa umejijenga ndugu ni bora umpatie pesa usimdai
Inauma ujue yaani nateseka na mke wangu kutwa ANAKUJA mtu kimzaha 0.5m inaondoka natamani kuchinja ila dini Ni Kinga ya dhambi. Wakati naanza walinidhihaki baadae mdogomdogo wakaanza kujaribia kumbe aduu hatoki mbali aisee
 
Naomba mfano wa ivyo vitu vichungu nianze kula
Sanasana kunywa kahawa mchana wa jua kali,halaf dondoshea matone mawil kwenye kikombe.piga vitatu fasta.make sure hujala tangu asubuh,hasira utakayoisababisha hapo hutataka shobo na mtu yeyote (hata mwanao wallah)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mna fikra za kimasikini sana yaani wewe unakula na kusaza mwenyezi mungu kakubariki na una ndugu yako hata pesa ya kula inampiga chenga au ana mtoto wake kafaulu anaomba ada unamnyima eti kisa unautafuta utajiri duuh inashangaza sana alafu hii tabia wanayo wabongo tu ukicheki ndugu zetu wahindi wanapendana balaa yaani akifanikiwa mmoja atapambana watajazana ndugu wote watafanikiwa wataishi wote kwa upendo, mmoja akikosa pesa ata ya biashara wananchangia mpaka asimame na hawa ndo wenye hela mingi na biashara nyingi bongo ila wabongo unakuta mtu kapata channel na uwezo wa kusaidia ndugu zake anao ila ndo kama mtoa mada anawapotezea kwa kisingizio cha kutafta utajiri sasa una haja gani ya kuwaita hata ndugu kama kwenye shida huwashiki mkono. UNAFIKI MTUPU. alafu utakuta nyie ndo mmesomeshwa na kijijinau ndugu mkitoboa mnaleta majivuno na dharau. Cha msingi saidia ndugu kwa uwezo wako kamwe usitoe msaada zaidi ya uwezo pili saidia yale ya msingi tu tatu na lameisho there is no happinesskujua una pesa nyingi alafu ndugu zako waliokulea na kukuwa na wewe wanataabika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipambana mkuu kufanya kazi nikampatia ndugu yangu pesa anihifadhie siku nakuja hitaji hakunipa hata mia mbovu pesa yote katatulia shida zake.
Aisee pole sana my dear. Hii tabia niliiona kwa wazazi pia toka tukiwa ng'a.aah! Ukimpa hela mama akushikie huwezi kumdai atakushushua tu🤣🤣🤣!

Sembuse ndugu yako anaekufatia au mkubwa kwako. Uli risk sana siku ingine hamna kumpa hela yeyote huyo.
 
Aisee pole sana my dear. Hii tabia niliiona kwa wazazi pia toka tukiwa ng'a.aah! Ukimpa hela mama akushikie huwezi kumdai atakushushua tu🤣🤣🤣!

Sembuse ndugu yako anaekufatia au mkubwa kwako. Uli risk sana siku ingine hamna kumpa hela yeyote huyo.
wazazi mungu anawaona haaaa... Wanapenda kula ela za watoto kilazima😂😂😂😂
 
Nimemkopa ndugu mwaka Jana mwezi wa 6 laki 5.
Alisema anakopa ili akasafishe njia apate dili, akipata atanilipa.
Sasa ni mwezi wa 5 kila siku story.
Na dili kashapata tena kaajiriwa kabisaa..

HUYU NAE NI WAKUTEGEMEANA?

#YNWA

Wrote from Anfield..!!!
Bora unikopeshe mimi babe wangu tutalipana [emoji12][emoji12] ama veep

mama wawili
 
Hahahah kuna kademu jion kamenitext..

Mambooo

Uko poa mkakaa.

Niazime Laki moja hapa.

Nikakajibu ivi

"(Hahahaha nyinyi mkiazimishwa au kukopeshwa Huwa hamrudishi ,Bahati mbaya wewe sio mpenzi wangu niseme naweza kusamehe Ila nikala mzigo.)"

Alafu kuna haka Ka tabia, Unakuta demu mshaachana, yaan ni Ex Ila anataka kukupiga kirungu...( daaahhh tunatiana dhambi nakuonekana wabaya).

Kamenikaushia ...namm nmechukulia poa tu ili mradi sijapoteza !!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukauzu ukauzu tu.siwezi kupata pesa yangu kwa kiminyano kutwa nzima halafu aje mwenye kipochi manyoya aikware kindezi.
Polish_20200509_100215659.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom