Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama mama yako ameshindwa kutoa maamuzi kwenye huo mgogoro, jaribu kushirikisha wazee, ikishindikana kabisa..kubaliana na ndugu zako. Mali zinatafutwa lakini uhai ukipotea umepotea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa mtu wa kanda ya ziwa, uchaggani mtoto mdogo wa kiume ndiyo mrithi au mmiliki wa nyumba aliyokuwa anaishi baba hadi siku ya mwisho.Mara nyingi baadhi ya makabila, baba akifariki, mtoto wa kwanza ndiye mmiliki
Pole mkuu, Marehemu baba yako hakuwa mjinga kuandikisha jina lako kwenye hati ya nyumba, simamia hilo na usiyumbishwe!Ndugu wadau
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa...
AsantePole mkuu, Marehemu baba yako hakuwa mjinga kuandikisha jina lako kwenye hati ya nyumba, simamia hilo na usiyumbishwe!
Atakayetumia nguvu kubwa kujaribu kubatilisha maamuzi aliyofanya mzee basi wewe usishiriki katika hilo, waache wafanye wenyewe. HAKI yako haitapotea kamwe, kama kuna LAANA itawahusu wao wenyewe
Vipi mkuu umefikia wapi?
We jamaa majibu yako yanaonesha either 1. Unaelewa ila ni mtu wa roho ya dhuluma kama mabro wa mtoa mada, 2. Au huna uelewa wa mambo yanatakiwa yaweje kikawaida, 3. Au huna uzoefu na tabia za ndugu kwenye mambo haya ya mirathi.Hapo anapoishi saiv ni wapi?hawezi kuendelea kuishi hapo hapo ? watoto hawawez mjengea yake ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako lazima asifungamane na yeyote ili kuepuka kutengwa na wanae ,,,ila funguwa kesi ya mirathi fasta,,,halafu huko mahakamani ndy utapata haki yako. usiogope mkuu.Asante Sana Sasa wanaibuka Hawa mabro wanataka iuzwe tugawane hela. mama nae Kama hajui kitu ndo nabaki njiapanda mzima mzima.
Unakwenda mahakamani kutafuta nini wakati wewe ndio mmiliki na una hati miliki?Mama yako lazima asifungamane na yeyote ili kuepuka kutengwa na wanae ,,,ila funguwa kesi ya mirathi fasta,,,halafu huko mahakamani ndy utapata haki yako. usiogope mkuu.
Nyumba sio yako Bali Ina jina lako. Hyo ni ya familia na ndio maana baba yako hakukwambia kua amekupa nyumba. We unaonekana una tamaa. Iuzwe mgawane na wenzako mkuuNdugu wadau
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye shida yangu, tarehe 24/2/2020 Kama familia tulipata msiba wa kuondokewa na MZEE wetu aliyetangulia mbele za haki kwa kifo Cha ghalfa.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu kuomba msaada wa ushauri ni kwamba, enzi za mzee alifanikiwa kuwa na watoto nane na wote wa tumbo moja kwa maana ya mama mmoja, huku akiwa na mali ambazo ni nyumba nne, tatu akiwa kaandika majina yake kamili huku nyingine moja akaandika hati ya jina langu kwa sababu Mimi ndo mzaliwa wa mwisho.
Baada ya mzee kufariki na hakuacha wosia wowote maana ilikuwa ghafla ndo wameibuka kaka zangu wakubwa wawili wanataka nyumba yenye hati yangu iuzwe pesa igawanywe pasu kwa pasu ili waweze kufanya Mambo mengine ikiwemo kumalizia ujenzi wa nyumba zao ambao umesimama. nimejaribu kumuuliza mama ili nijue hii imekaaje kaishia kunipa majibu ya kawaida Sana kwamba (yeye hana mamlaka na mali alizoacha mzee maana ni zenu watoto mkiamua kuuza mali yoyote ni sawa).
Wakuu kilichonileta hapa ni kutaka kujua hii imekaaje kwa mujibu wa sheria ili nijue mapema isije ikawa shida huko siku za mbele kutuhumiana dhuluma au kujaribu kuvuruga mahusiano ya familia kwa Jambo la kawaida.
.....................
Kwamba nyumba ina hati ya jina langu..
Ndugu wanataka tuuze nyumba yenye hati ya jina langu badala ya hizi nyingine zenye majina ya baba.
"Mama anasema hana mamlaka na mali alizoacha mzee maana ni za watoto, wakiamua kuuza sawa wakiamua kuacha sawa".
Hapa naona kama kakwepa kujibu swali langu la msingi nililotaka kujua kama kuandikwa kwenye hati ya nyumba ina maana nyumba ni yangu ama sio yangu.
Shukrani
Hivi una akili timamu? Unaelewa maana ya tittle deed?Nyumba sio yako Bali Ina jina lako. Hyo ni ya familia na ndio maana baba yako hakukwambia kua amekupa nyumba. We unaonekana una tamaa. Iuzwe mgawane na wenzako mkuu
Ajue nina tamaa halafu aniandike???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Nyumba sio yako Bali Ina jina lako. Hyo ni ya familia na ndio maana baba yako hakukwambia kua amekupa nyumba. We unaonekana una tamaa. Iuzwe mgawane na wenzako mkuu
Ushauri wako mzuri ila asiwe king"ang"anizi sana aisee isije kumletea shida maana hata mama nae yuko njia panda, kama vipi waweke mali zote mezani wagawane pasu kwa pasu ili Amani iwepo kwenye familia.Hapo kuna maswali ya kujiuliza
1. Japo marehemu baba anajua ana watoto 8 na ana nyumba 4, kwanini aliamua kukupa wewe nyumba yako kwa kuandikisha Hati ya nyumba yenye jina lako? Hili swali mama anaweza kulijibu, wazee wa karibu na mzee wanaweza kulijibu, kaka/dada wa mzee wanaweza kulijibu, babu na bibi zako wanaweza kulijibu, hata na wewe kutokana na mazingira mliyoishi hapo nyumbani unaweza kulijibu
Kwa uelewa wangu kuna Mila za baadhi ya makabila (kama watu wa kaskazini) , mtoto wa mwisho ndiye anayeachiwa mji wa mzee. Hivyo kama baba ameamua kukuachia nyumba kwa jina lako ina maana hapo ni NYUMBANI, sasa nyumbani hapawezi wala hapatakiwi kuuzwa.
2. Je baba alikuwa anamiliki nyumba tu, je mgawanyo wa mali zake nyingine upoje, je hao watoto wengine hawajapata zaidi mgawo wa mali nyingine ukilinganisha na wewe? Inawezekana kuna viwanja, mashamba n.k. yana Hati zenye majina ya ndugu zako
Usikurupuke kukubali kuuza kabla hujapata majibu ya maswali hayo
Daaah Mr Graph ujue unaweza kumtia kwenye shida kijana wa watu? kama hao ndg zake njaa njaa itakuwa hatari sana aisee bora kuuza tu hiyo nyumba wagawane pasu pasu!!!!Nyumba yako hiyo, kwa hali ilivyo sasa hivi sikushauri uiuze kabisa utajuta. Labda kama ipo vijijini huko ila kama ni mjini usijefanya hilo kosa, hela wagawane kwa sababu ipi? Nyumba yako alafu uuze ugawe pesa? Waende wale bata hela za bure ubaki huna nyumba wala huna kitu. Don’t make that mistake kabisa