Ndugu wanataka tuuze nyumba yenye Hati ya jina langu baada ya mzee kufariki

Ndugu wanataka tuuze nyumba yenye Hati ya jina langu baada ya mzee kufariki

Kisheria unaweza ukawashinda ndugu zako Ila upande wa pili wa shilingi inabidi uwe fiti sana la sivyo watakutanguliza ana uwe ndondocha wakulee wenyewe. Kuwa makini
 
Hakuna kuuza hiyo nyumba mtunzie mama yenu ili akae hapo. Baba alikuwa anajua yote haya na ndio maana akakuandika wewe kwenye nyumba moja.

Kwa tamaa za njaa najua hata ukiuza na mkagawana hizo hela na bahati hela zako hizo kidogo ukafanikiwa kimaisha bado watakurudia tu na kutaka na hicho chako.

Kaa na mama mwambie ntakuangalia mpaka mwisho wa uhai kwenye nyumba hiyo na wao waambie hivyo.

Nashangaa sana kwa nini mirathi huwa inaleta migogoro na watu wanashinda kuchuma vyao


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Dah nashukuru mungu sijawahi kuiwazia nyumba yetu japo mie ndo last borne na kwa mila zetu mtoto wa mwisho ndie mrithi wa mjengo.

Kwa sasa mshua anauboresha mjengo kila uchao nawaza tu zogo lake kati ya first borne brother na mama wa kambo litakuwaje japo sidhani kama ntashiriki kugombania. Nataka nijenge kwangu tu ili ile nyumba niipangishe huko mbeleni.

Una uhakika gani hutaanza kufa wewe?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
+1
Mama yao ndio tatizo , mkuu hawa watoto vitinda mimba huwa wanapewaga privileges zisizo na vichwa Wala miguu na huwa wanadharau sana wakubwa zao...
Nimeona una chuki na ndugu yako wa mwisho, sio tu kwa comment hii hata comment ya juu.

Mimi pia ni kitinda mimba na sikatai napendwa na kudekezwa haswaaa, sio tu wazazi hata kaka na dada zangu, lakini sijawahi wadharau ila inawezekana mtu akatengeneza chuki yake binafsi na kuigeuza kama dharau (kama wewe hapa),

Na inaonesha wewe unafatana na huyo Kitinda Mimba wenu, unahisi kama nafasi yako kaipora, [emoji846][emoji846]

Pole sana lakini chuki ni uchafu wa roho, jitakase.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Haya mambo ni magumu sana kuna mshikaji wangu nae alikomalia urithi nikamwambia mwanangu unatafuta kifo na kweli alipelekwa mahakamani walipoona kesi atashinda siku moja aliumwa kichwa tu akafa.

Nakushauri sana angalia kwa makini hao ndugu zako km watakomaa sana uza maana hapo inaweza kua ndo chanzo cha mgogoro na kuuana mkaamwacha mama na mpweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona una chuki na ndugu yako wa mwisho, sio tu kwa comment hii hata comment ya juu...
Naongea kwa experience ,hiyo chuki unabet tu, infact kitinda mimba wetu tunapatana Sana na mie ,japo alilelewa kimayai sana na ananitegemea sana kwenye mambo yake Kama yakikwama.

In fact baada ya mzee kufariki nilichukua mie jukumu la kumsomesha hadi ana graduate degree yake , Kazi anayo fanya sasa alitafutiwa na Dada yetu mkubwa amabaye kwa chuki iliyoyengenezwa na wazazi alikua hata haongei naye .

Hebu anagalia scenario ya mtoa mada jinsi mzazi alivyobagua watoto wa kuwazaa mwenyewe ,unadhani alifanya fair? Huyu gogo hapa kaleta nyumba tu ijadiliwe lakini ku mengi atakua hajayasema hapa ambayo yeye kafaidika huku akijua wenzake wanaumia, ndo mana mzee alipofariki wenzake wanarevenge .

Vitu vya familia sio vya kuvitolea macho, hasa hizi familia zetu za kimaskini ambapo source ya income haitabiriki, hiyo nyumba anayolilia hata akipewa sababu hajui ilipatikana vp ataishia kuiuza tu.

Sent
 
Naongea kwa experience ,hiyo chuki unabet tu, infact kitinda mimba wetu tunapatana Sana na mie ,japo alilelewa kimayai Sana na ananitegemea sana kwenye mambo yake Kama yakikwama.

Hebu anagalia scenario ya mtoa mada jinsi mzazi alivyobagua watoto wa kuwazaa mwenyewe ,unadhani alifanya fair?...
Mzee kampa zawadi ya nyumba mwanae kuna tatizo? Nyumba tatu zipo kwanini ndugu zake watake kuuza hiyo ya mwenzao ili wakamalizie ujenzi wa nyumba zao?

Mzee wake aliona kabisa kuna chuki baina ya watoto wake wakubwa kwa mtoto wake wa mwisho pia aliona huyo wa mwisho ndie atamlea mke wake incase of anything kiufupi aliyoyatabiri mzee ndio yanatokea hata bado hajaoza tayari wakubwa wanatoa macho mali ya mwenzao.

Halafu nikwambie kitu? Kwa mzazi lazima tu atakuwepo mtoto mpendwa, hiyo haipingiki.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
  • Thanks
Reactions: amu
ila mkuu nadhani kwangu Ni tofauti kidogo. mahusiano ya familia yalikuwa mema Sana labda Kama kulikuwa na kuchukiana kisiri Siri ila Mimi Ni shahidi wa kwanza nawa mwisho tulikuwa tunaishi vizuri na ndugu zangu ambapo mkubwa tulimheshimu na Mimi mdogo walinipa heshima zangu pia.

haifahamiki hii roho ya ugomvi umetoka wapi labda Ni kwa sababu kila mtu hakujua alichoandika mzee baada ya kukijua mapepo yakawaingilia hao.
Naongea kwa experience ,hiyo chuki unabet tu, infact kitinda mimba wetu tunapatana Sana na mie ,japo alilelewa kimayai Sana na ananitegemea sana kwenye mambo yake Kama yakikwama...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila mkuu nadhani kwangu Ni tofauti kidogo. mahusiano ya familia yalikuwa mema Sana labda Kama kulikuwa na kuchukiana kisiri Siri ila Mimi Ni shahidi wa kwanza nawa mwisho tulikuwa tunaishi vizuri na ndugu zangu ambapo mkubwa tulimheshimu na Mimi mdogo walinipa heshima zangu pia...
Mkuu unadhani huo uamuzi wa kukuandikisha wewe pekee umiliki nyumba yako ilhali wenzako saba hawajapewa chochote ilikuwa ni sahihi? huoni chuki ilianzia hapo?

Katika maisha ukiona umepewa nafasi ya kufaidika ilhali wenzako wanaumia jua kuna tatizo, Mzee wenu alikuwa ametega time bomb , Na ilikuwa imetengeneza chuki ya chini kwa chini, alipofariki wakubwa zako wameona ndo wakati wa kurevenge.

Mi sio muumini wa vitu vya kurithi , hapo either uchague mahakamani amabapo Nina uhakika utashinda , Ila undugu ndo mashakani , au kubali wauze mgawane pasu amabayo itakuumiza Sana kisaikolojia, au kama mdau alivyoshauri hapo juu mko nane nyumba zipo nne , gawaneni wawili
wawili

Sent
 
Mzee kampa zawadi ya nyumba mwanae kuna tatizo??
Nyumba tatu zipo kwanini ndugu zake watake kuuza hiyo ya mwenzao ili wakamalizie ujenzi wa nyumba zao?

Mzee wake aliona kabisa kuna chuki baina ya watoto wake wakubwa kwa mtoto wake wa mwisho pia aliona huyo wa mwisho ndie atamlea mke wake incase of anything kiufupi aliyoyatabiri mzee ndio yanatokea hata bado hajaoza tayari wakubwa wanatoa macho mali ya mwenzao...
Kama mzazi hilo la kubagua watoto nimesema halitatokea no matter what , sababu nilipitia hayo, sitaki wanangu wapite njia hiyo,

We mwenyewe unaona sawa kabisa mtu kafyatua watoto nane halafu analeta maswala ya family division na bado unataka kuwe salama? Unatania asee. Angemuandikisha mke wake basi ili mambo yaende ya kijireset.

Nahisi hata mama wa mdau hana kauli sababu yaliyotokea , anaona akijitia upande wowote anaharibu kabisa.

Sent
 
Mkuu unadhani huo uamuzi wa kukuandikisha wewe pekee umiliki nyumba yako ilhali wenzako saba hawajapewa chochote ilikuwa ni sahihi? huoni chuki ilianzia hapo?

Katika maisha ukiona umepewa nafasi ya kufaidika ilhali wenzako wanaumia jua kuna tatizo, Mzee wenu alikuwa ametega time bomb , Na ilikuwa imetengeneza chuki ya chini kwa chini, alipofariki wakubwa zako wameona ndo wakati wa kurevenge...
Nimeelewa mkuu Asante Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom