MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,678
- 3,818
- Thread starter
- #81
Shukrani sanaMtoa mada na wengine, someni hicho kitabu na myafuate hayo yalioelekezwa na wabobezi wa sheria. Utakuja kunishukuru baadae. Pia inabidi mfuate kanuni za mirathi (kwa mtoa mada) na wengine tuliobaki tuandike wosia kuepuka migogoro
Sent using Jamii Forums mobile app