The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Sikia jitambue hiyo nyumba mzee wako hakuwa mjinga kuandika jina lako usikute aliona wewe ndio mwanae wa halali hao wengine mama yako alimpiga kwa michepuko ndio maana sasa fanya hivi komaaa hiyo nyumba isiuzwe na kama wanataka kuuza ziuzwe zote nne