Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,165
Nyumba yako hiyo, kwa hali ilivyo sasa hivi sikushauri uiuze kabisa utajuta. Labda kama ipo vijijini huko ila kama ni mjini usijefanya hilo kosa, hela wagawane kwa sababu ipi? Nyumba yako alafu uuze ugawe pesa? Waende wale bata hela za bure ubaki huna nyumba wala huna kitu. Don’t make that mistake kabisa