Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.

Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.

Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!

Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu

Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu

Naombeni ushauri wenu
 
Ukiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote
Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Usije kuangukia pua mahakamani,kama unaushahidi usiobna shaka sawa,ila anaweza kukulipa kama ni muungwana kama wa ovyo tegemea Mambo 2Kwanza atasema atakulipa kidogo kidogo 2Hana!
 
Ukiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote
Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Ushauri mzuri Kaka ila na Mimi nishauri nilituma nyumbani hela ya kaburi la mzazi lijengwe upya ,kichekesho wameikula ni mama mdogo na Bibi yangu wananipa ahadi watalijenga tu .

Sasa nimepanga nizile nisiwatafute hata wakifa nisiwapigie nishauri ndugu Hawa watu ni ndugu zangu niwafenyeje Sasa ?
 
Ikiwa sababu ya Kutokulipa ni jeuri zake MPELEKE MAHAKAMANI.

ikiwa ulimpa lkn Bado Biashara yake inasuasua, mkubaliane akulipe mafungu mafungu .



Ikiwa Ndugu anamuua Ndugu, kwann usimdai hata kisheria?.

Am telling you, huyo jamaa yako anaweza hata kukuua ili mradi tu asikurudishie hiyo Hela kama Nia yake ni kutokukurudishia
 
Ushauri mzuri Kaka ila na Mimi nishauri nilituma nyumbani hela ya kaburi la mzazi lijengwe upya ,kichekesho wameikula ni mama mdogo na Bibi yangu wananipa ahadi watalijenga tu .

Sasa nimepanga nizile nisiwatafute hata wakifa nisiwapigie nishauri ndugu Hawa watu ni ndugu zangu niwafenyeje Sasa ?
Nenda kalijenge Kwa usimamizi wako..kwanza ulifanya makosa kutuma Pesa Kujenga kabri la mzazi bila uwepo wako.


Funga safari, kalijenge, alafu endelea kumjali bibi yako.

Pesa amekula Mama Mdogo wako, ila kwakua ni mtoto wa Bibi yako, bibi yako akaona apoozee tu.
 
Ikiwa sababu ya Kutokulipa ni jeuri zake MPELEKE MAHAKAMANI.

ikiwa ulimpa lkn Bado Biashara yake inasuasua, mkubaliane akulipe mafungu mafungu .



Ikiwa Ndugu anamuua Ndugu, kwann usimdai hata kisheria?.

Am telling you, huyo jamaa yako anaweza hata kukuua ili mradi tu asikurudishie hiyo Hela kama Nia yake ni kutokukurudishia
HYa hyo kdg kidg amegoma nilitka kununua Bati na pesa hzo ila ndio hvyo hataki kutoa dah
 
Back
Top Bottom