Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma .

Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.

Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote

!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu

Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu

Naombeni ushauri wenu
Zama za leo watu wengi wenye uhusiano wa karibu wamekuwa matapeli. Utapeli (wizi wa kuaminiana) unaongezeka kwa kasi sana miongoni mwa jamaa wa karibu.
Kama inawezekana msamehe tu then yootezee hilo deni. Msije mkaanza kurogana bure
 
Zama za leo watu wengi wenye uhusiano wa karibu wamekuwa matapeli. Utapeli (wizi wa kuaminiana) unaongezeka kwa kasi sana miongoni mwa jamaa wa karibu.
Kama inawezekana msamehe tu then yootezee hilo deni. Msije mkaanza kurogana bure
Milion tano sina maisha mkuu hapna
 
HYa hyo kdg kidg amegoma nilitka kununua Bati na pesa hzo ila ndio hvyo hataki kutoa dah
Amegoma Kwa jeuri zake tu au amegoma Kwa sababu biashara yake haiendi, anaona akitoa anaanguka?.

Maisha yake Kwa ujumla yakoje? Ni MTU anayetumbua Maisha mjini ??.

Embu kwanza pima Maisha yake anayopitia Sasa.

Kama ni mtumbua Maisha, maana yake ni makusudi, hivo mpeleke MAHAKAMANI.
 
2021 nilipata mkopo ndg yangu mfanyabiashara akaniomba hela m10 nikampa m8 akini hakikishia ndani ya miezi 4atakuwa kshamaliza kurudisha hela yote.
mwezi wa kwanza,pili na watatu ukakata bila chotechote kunipa
mwezi wa4 akaniwekea laki5 uliofata 150k uliofaata 200k ndo ikawa mwisho.

nikaenda kwa wazee wakaniambia msamehe vingine mtakosana hadi na watoto wenu akiamua kukupa na akupe
iwapo hata kupa achana nae.

namimi nikaachana nae japo yeye huwa namuona hana amani kabisa na issue kubwa ipo kwa wife hajawahi sahau

NAKUOMBA SAMEHE MKUU.mtakujha uana nakwambia
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
hukuja kuomba ushauri bali unataka uthibitisho wa ulichokiamua.
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Ongea na wazee kwanza kabla ya kwenda kwenye sheria.. Kama ndio tabia yake hata huko kwenye sheria atakusumbua
Kesi za madai ni ngumu sana hasa kama hakuna maandishi.. Na anaweza kukubali deni lakini akaiambia mahakama kutokana na kipato chake uwezo wake wa kulipa ni elfu 20 kila mwezi.. Mahakama haina uwezo kwa kumlazimisha alipe kwa mkupuo
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Ongea na wazee kwanza kabla ya kwenda kwenye sheria.. Kama ndio tabia yake hata huko kwenye sheria atakusumbua
Kesi za madai ni ngumu sana hasa kama hakuna maandishi.. Na anaweza kukubali deni lakini akaiambia mahakama kutokana na kipato chake uwezo wake wa kulipa ni elfu 20 kila mwezi.. Mahakama haina uwezo kwa kumlazimisha alipe kwa mkupuo
 
Sio kweli, 5 M sio Pesa ya kuipata Mara Moja tu Kwa MTU anayejitafuta, ni Pesa ambayo unavyoitoa au unavyoirudisha Moja Kwa Moja kunakua na Hesabu kaliii.

Sio Pesa ya kusema, na kesho nitaipata ngoja nipotezee.

Labda kama wee ni Mwigulu .
Inauma sana lkn unakuwa huna jinsi. unasamehe tu
 
Ukimsamehe utaruhusiwa kudraw kwenye ac yake.

Yaani water spring ya baraka yake inakauka na kuelekezwa kwako.

Mimi ni shahidi wa hili
Usipende kuunganisha Kila Kitu na IMANI.

Ili Karama imrudie Nawewe ubarikiwe, ni lazima uhakikishe WEWE NI MSAFI HAUNA DHAMBI YA AINA YOYOTE.


Samehe alafu uendelee na uzinzi, uongo, n.k uone kama utabarkiwa.

Unadhan kwann Tajiri wa kuzulumu anabakia kua Tajiri mpaka kufa, Nawewe ulodhukumiwa unabaki kua Masikini mpaka kufa??

Wakati mwingine tuamini kama Akili na matumizi ya Akili.


Mahakama ilianzishwa na Mungu mwenyewe.
 
Ugomvi wa ndugu ni mbaya sana mkuu, ndugu wa damu awe dada au kaka ni bora usamehe
Wengine deal nao ila ndugu samehe tu tena mwambie nimekusamehe ili maisha yasonge na Mungu atakulipa x 2 ya hizo kwa njia zingine kama sio wewe hata wanao
Kumbuka watoto wake watakuita anko na nyumbani mnakutana kwa kila jambo
Bora kusamehe ajione mjinga tu
 
Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma .

Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.

Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote

!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu

Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu

Naombeni ushauri wenu
Kama kuna sehemu hakuna haki nchi hii ni mahakamani na taasisi nyingine naogopa kuitaja.
Ni bora ukomae na wazazi myamalize kifamilia kuliko mahakamani,itakuchafulia cv yako bure kwenye familia na haki yako hutopata,amini nakwambia.
 
Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma .

Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.

Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote

!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu

Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu

Naombeni ushauri wenu

Kwani haikuandikwa kwamba ukimkopesha pesa ndugu yako hiyo ni sawa umeitoa kwa mitume na manabii wa zamani hizi. Samehe saba mara sabini ili muendelee kuishi vyema na nduguyo. Ila, asilani usirudie kumkopesha ndugu yako awaye yote. Ukifanya hivyo tena, usije ukaja tena hapa kutulilia.
Lakini kwa kuwa hao ni nduguzo, wasaidie kadiri ya uwezo wako. Kama anakopa laki 2, mpe elfu thelathini imsaidie kuhemea zingine.
 
Back
Top Bottom