JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Tumia akili, badala ufocus kwenye biashara yenye thamani ya 200m uhangaike na kazi ya 1.5m ambayo inakula zaidi ya masaa 8 ya siku nzima
Pole sanaExactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogo
Weka TB za BOT za miaka 20 au 25 unavuna 2.7m kila mwezi hiyo unajibana unawekeza mdogo mdogo. Mambo yakikaa sawa yakisha materialize unauza kwenye secondary market then una re-invest elsewhereBujibuji acha mzaha, this is serious, nategemea hekima zako![emoji1]
By the way, wife anapinga kabisa suala la kuacha kazi!
Kama hakupendi ataifuja tu biasharaBiashara NAYO ni kazi. 200 ml ni mtaji wa maana kabisa unaoweza kubadilisha maisha ya familia yako completely.
Kaa chini na mkeo, mwelimishe faida za kujiajiri .
Ukipata wazo LA biashara mshirikishe na umfanye kuwa partner in business, atakuamini na kuithamini biashara yenu
Kweli kabisaKama hakupendi ataifuja tu biashara
Twende baa tukafanye icho kikao cha shughuli ya kufanya ukipewa izo ela....Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Usd laki ni zaidi ya 200M mkuu mie ningetia bond yote halafu 23M ndio nifanyie biasharaMkuu, kuacha kazi sio uamuzi wangu, ni sharti la sponsor! I give you USD 100,000 only if you are willing to quit your job and seriously pursue business, commit to it. You cant have both, your job and the USD 100,000.
Wee chukua hiyo bwana m200 kwanza bro. Tafuta kiwanja jenga apartment zako kadha tulizana.Okay, ila kumbuka nikiichukua hiyo hela maanake sina kazi. Ila uzuri kuna hii nyingine ya mafao
Bujibuji acha mzaha, this is serious, nategemea hekima zako![emoji1]
By the way, wife anapinga kabisa suala la kuacha kazi!
Kwa hii kauli inaonekana kazi unayofanya haijitoshelezi bado unakuwa unamsumbua sumbua kuomba baadhi ya mahitaji kwake thus why amekwambia hivo maana ameona kazi unayofanya haina faida..so cha kukushaur acha tu hiyo kazi.Nimekuewlewa mkuu, ila sasa huo sio uamuzi wangu. Msimamo wake ni kwamba acha kazi, fanya biashara nitakupa mtaji. La sivyo endelea na kazi yako.