JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Tumia akili, badala ufocus kwenye biashara yenye thamani ya 200m uhangaike na kazi ya 1.5m ambayo inakula zaidi ya masaa 8 ya siku nzima
Hakuna pesa inayoachwa kama uwezekano wa kuipata upo unless uwe limbukeni lenye mihemko likiona pesa.
M200 tayari unadharau m18 kwa mwaka?😂😂 Unadhani ni rahisi kuzungusha m200 ikupe faida ya m18 kwa mwaka? Wewe ndo tumia akili.
Mm nakushauri Kama kuna uwezekano wa kuwekeza m200 huku unapata hiyo 1.5m fanya hivyo ila kama ni lazima sana uiache hiyo 1.5m kaa chini tuliza akili sana.
Halafu kama inawezekana usifanye jambo jipya usilolijua.