Usiwekeze kwenye kilimo usiwekeze kwenye daladala.
Nunua ardhi sehemu potential ambapo ardhi ni ghali angalau eka moja kwa milioni 10 unapata eka 20.Zisajili kata viwanja panga mitaa chonga barabara weka nguzo za tanesco kila plot,weka plot number hapo hapo fungua ofisi huku ukianza mradi wa matofali na vifaa vya ujenzi.Anza kuviuza viwanja hivyo kwa cash na Mkopo KILA eka moja gawa viwanja 6 uza milioni 10 KILA kiwanja so heka moja unapata milioni 60 so kwa heka 20 utapata bilioni 1.2 unaendelea kununua mashamba mengine kwa plan hiyo hiyo.Ndani ya miaka 2 sio wewe tena.
Real estate ukiijulia inalipa sana.
Hii aina stress wala hasara we Kazi yako ni kuwapigia tu simu wateja.
Hakuna kupewa hati bila kumaliza kulipa, unaruhusiwa kujenga huku ukiendelea kulipa sharti vifaa vya ujenzi ununue kwangu.