Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Diamond ndugu yangu. Hongera kwa kazi nzuri unazopata na network ya kimuziki unayoipata huko duniani Mungu akubariki sana.
Katika chenji zako unazopata kumbuka kuwekeza miradi mingine ya kiuchumi ili usiingie kwenye kasumba iliyozoeleka ya wasanii (hususani wanamuziki) wa kitanzania ambao huishiwa pumzi na kufulia haraka sana na kugeuka ombaomba mtaani.
Hatukuombei mabaya ila angalia tu wenzio(walio wengi) huko walikotoka na hali yao ya maisha kwa sasa. Wamechoka sana. Mfano ipo mingi sana.Na ndo maana kuna wasanii wanabadili gear angani mf Prof Jay Mr II Jokate Masanja nk.
Maana ukifulia na huo mdomo sijui utaonekanaje huko Mbagala.
Please nisiki mm kaka yako.
Katika chenji zako unazopata kumbuka kuwekeza miradi mingine ya kiuchumi ili usiingie kwenye kasumba iliyozoeleka ya wasanii (hususani wanamuziki) wa kitanzania ambao huishiwa pumzi na kufulia haraka sana na kugeuka ombaomba mtaani.
Hatukuombei mabaya ila angalia tu wenzio(walio wengi) huko walikotoka na hali yao ya maisha kwa sasa. Wamechoka sana. Mfano ipo mingi sana.Na ndo maana kuna wasanii wanabadili gear angani mf Prof Jay Mr II Jokate Masanja nk.
Maana ukifulia na huo mdomo sijui utaonekanaje huko Mbagala.
Please nisiki mm kaka yako.