Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Muwe mnakwenda kwenye jumuiya kila jumamosi.Kuna kitu tumeamua kwa ninyi kataa ndoa.Itunze siri hiyo!mahusiano yenyewe tu: 50k kila mwezi hatuna, iwe ndoa kweli ?
mtoa mada anasema "Hapa kukwepa vizinga unashauriwa ufanye yafuatayo"Muwe mnakwenda kwenye jumuiya kila jumamosi.Kuna kitu tumeamua kwa ninyi kataa ndoa.Itunze siri hiyo!
Yaaani kuona povu tuu...Bado hujajua mengi
Ukiijua jinsi yake hautapata shinda.Muwamba ngoma...!mtoa mada anasema "Hapa kukwepa vizinga unashauriwa ufanye yafuatayo"
alaf akasisitiza nitoe 50k kila mwezi
sijui ana maana gani
Huo ni mfano tu
itakuwa ni MEUkiijua jinsi yake hautapata shinda.Muwamba ngoma...!
Unajua leo? Au unafanya makusudi?Kumbe wanawake ni shida duniani?
Kuna wengine hio 50k ni nyingi mno inategemea na upo na mtu wa wapi Ila kwa story yake amelenga watoto wa chuo sio makulumbembe ya mtaa makulumbembe hio 200k ni matumizi ya siku mojaitakuwa ni ME
KE ange sajest iwe walau 200k badala ya 50k kila mwezi
Mkuu hii mada sio ya kiuchumi bali ni kimapenzi. Mods waihamishie kule MMU. Lakini una hoja nzito. Usikilizwe!Kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha apa namanisha kiuchumi basi fanya hivi.
Acha Kuendekeza wanawake
Hapa kukwepa vizinga unashauriwa ufanye yafuatayo;
1. Kuwa na mwanamke mmoja usiwe na michepuko sabisa, pakuvuja pakiwa pengi itakuwa balaa.
2. Kuwa na mwanamke mpambanaji, usichukue beki tatu (beki tatu namanisha mwanamke golikipa kila kitu anakutegemea wewe). Usibebe mwanamke wa kumlipia kodi, mwanamke awe anajimudu, wewe uwe unaweka chachandu na mahitaji madogo madogo. Bora kuwa single ila sio na beki tatu (ukweli unauma najua).
3. Tenga bajeti ya mpenzi wako, mfano ukisema kwa mwezi umpe mpenzi wako Tsh. 50,000 ya mahitaji, ikizidi hapo tangaza huna hela hadi mwezi ujao, kama ni muelewa wewe mwambie mapema kabisa, mimi kwa mwezi nakupa Tsh. 20,000 ya kusuka, Tsh. 10,000 ya vocha na Tsh. 20,000 ya extra then kila mwezi wewe mpe hiyo pesa halafu usisumbuane nae.
Mwambie kwa level yangu mama mimi nakupa Tsh. 50,000 kila mwezi basi, ila kama uwezo wako wa Tsh. 10,000 mwambie kabisa (Hapa sheria ni isizidi 9.8% ya kipato chako, kama mnakumbuka Mungu tunampa 10% kwa hiyo hatuwezi mpa mwanamke kiwango kinachozidi hapo.
4. Usimpeleke mwanamke wako nyumba za kulala wageni (haitaki maelezo hii) mlete kwako ili kupunguza matumizi.
5. Akija kwako apike mwenyewe asinunue chakula, hataki afie mbele.
6. Usiwe na mwanamke wa mbali mfano mkoa mwingine, hata kama upo naye mji mmoja hakikisha nauli ya kumleta kwako haizidi Tsh. 2,000 kwa bodaboda na Tsh. 1,000 kwa daladala. Hili halina maelezo wote tunajua kauli ya sina nauli.
Nimemaliza
Kijana uliyehitimu kidato cha nne, kidato cha sita na chuo kikuu bado unajitafuta usisahau kufukua huu uzi wa ufadhili wa masomo nchi mbalimbali duniani: Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka
Fukua huo uzi kajitafute nje ya nchi.
mtoto wa chuo umpe 50k kwa mwezi, nakunya hapaKuna wengine hio 50k ni nyingi mno inategemea na upo na mtu wa wapi Ila kwa story yake amelenga watoto wa chuo sio makulumbembe ya mtaa makulumbembe hio 200k ni matumizi ya siku moja
Unamdanganya.Hoja nzito haipo hapo.Mkuu hii mada sio ya kiuchumi bali ni kimapenzi. Mods waihamishie kule MMU. Lakini una hoja nzito. Usikilizwe!
Wewe unaona nini mkuu? Wanawake mnatusumbua sana. Bila kuwawekea bajeti mtatufilisi aisee!Unamdanganya.Hoja nzito haipo hapo.
Sasa mimi ni mwanamke?Au avatar yangu imekupa nyege?Nipo na shangazi yako mama Wegesa nimemshika zegembe hapa hadi hataki kwenda kanisani.Wewe unaona nini mkuu? Wanawake mnatusumbua sana. Bila kuwawekea bajeti mtatufilisi aisee!
Kama wewe sio KE mbona unatetea mambo ya kike mkuu au wewe ni mwanaharakati wa masuala ya wanawake kuwafilisi wanaume?Sasa mimi ni mwanamke?Au avatar yangu imekupa nyege?Nipo na shangazi yako mama Wegesa nimemshika zegembe hapa hadi hataki kwenda kanisani.