Ndugu yangu kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha hapa namanisha kiuchumi basi fanya hivi

Mkuu hii mada sio ya kiuchumi bali ni kimapenzi. Mods waihamishie kule MMU. Lakini una hoja nzito. Usikilizwe!
 
Kuna wengine hio 50k ni nyingi mno inategemea na upo na mtu wa wapi Ila kwa story yake amelenga watoto wa chuo sio makulumbembe ya mtaa makulumbembe hio 200k ni matumizi ya siku moja
mtoto wa chuo umpe 50k kwa mwezi, nakunya hapa
hao ndiyo wanafika mpaka 500k maana odometer yake bado iko ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…