Ndugu yangu kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha hapa namanisha kiuchumi basi fanya hivi

Kama wewe sio KE mbona unatetea mambo ya kike mkuu au wewe ni mwanaharakati wa masuala ya wanawake kuwafilisi wanaume?

Kama wewe ni ME basi lazima utakuwa PUNGA
Wapi nimetetea majambazi?Hebu quote nione.Umefika mbali.Kuwa PUNGA?Yaani kuliwa kwa hiyari huku unatoa milio/mournings and poutings simultaneously!
 
hapa naona unawashauli wafanyakazi wa serikalin ambao wanapokea laki nne kwenda juu na sio kijana wa ktz kijana wa kitiz asiekuwa na kazi ya kueleweka K50 ni kubwa sana kwenye huduma za mwanamke, unatoa k50 kwa mpenzi wak wakati kazi yako ni ya kuunga unga kiufup bora kubaki singo KATAA MAPENZI MAPENZI NI UTAPELI huu uzi kautoa mwanamke na wanawake wanatabia za kubebana, mtoa mada kwanin usiseme muhudumiane mana si umesem mpenz awe na kaz kwa nn ateseke mmoja kisa utamu, si lengo mtoke kiuchumi weken taratibu bwana ww mpenz wangu hapa 50/50 lengo letu ni kununua kiwanja mshahara wako ukitoka kama unapokea laki k50 ilete hapa tuiweke k50 fanya mahitaji yako na mm napokea laki k20 mahitaj ya hom buku 50 tunaisevu kijana msoma uzi najua ulipo hapo hata ten linakushinda gheto huna mkaa wala unga na unawaza wapi ukapate kaz na tayali unakaribia miaka 30+ na una majukumu kibao na haujui pakupata hela kiufup, kama unataka pesa hahaha pole sana ili utoboe ishi unavyoweza usisikilize ushaul wa kutoa
 
mtoto wa chuo umpe 50k kwa mwezi, nakunya hapa
hao ndiyo wanafika mpaka 500k maana odometer yake bado iko ndogo
Ninaposema mtoto unielewe sio kulumbembe la chuo maana chuo kuna watoto na makulumbembe pia sasa wewe ukipalangana na kulumbembe la chuo ndio hio unapigwa 500k per day piga per month inaleta Sifuri ngapi,
 
Umeongea maisha yangu
1.Niko nae mmoja TU
2.mapenzi tunafanyia kwangu
3.hapo kwenye hela nadhani naishiaga 30000
4.hana kazi ila yuko kwao
5.ni muoga muoga
I wish niwe na hela nyingi hata gari nitamnunulia na nyumba kujenga
Yuko na Mimi in my very hard time she is 20yrs na Mimi ni mkubwa sana kwake but she love most
 
Usipotoshe vijana acha wahonge acha watapanye pesa umri bado wanao na fursa wanayo...... Kila mmoja wetu ananjianyake ukiwashauri ww wakati mtu ashajua njia yake inakua uongo mkuu
 
Kimsingi umelenga mambo ya...mpalange..kule madale kuna sehemu inaitwa "kisa uke."
 
Sasa ndo umuoe, sio umchezee afu baadae ukaoe mwingne lol.
Atajuta kupoteza muda wake kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sehemu kubwa ya Wanawake kwa Sasa wamekua chanzo Cha kurudisha nyuma kiuchumi na maendeleo ya wanaume/vijana, uvunjifu wa familia n.k. Hivyo ushauri wa mwamba ni muhimu sana kwa Sasa ili kuwa makini na kufocus maisha.
Mkuu umemaliza kila kitu. Wanawake wa sasa hivi ni zaidi ya kausha-damu. Mungu anawaona.
 
Kuwa na mwanamke mmoja kwa Sasa ni hatari na gharama sana kwa wanaume Bora utushauri tununue Malaya maana hata elfu unakojoa maana mademu wa Sasa ni manyonya damu zaidi ya freemason
 
HV ile Kaz ya commissioner wa nishati na gesi umeteuliwa Kweli

Haika ujengewe sanamu lako dodoma central
 
Akiacha uoga utalia na kusaga Meno mtunze sana na dunia awe muoga hivo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…