Ndugu yangu kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha hapa namanisha kiuchumi basi fanya hivi

Hiyo no 1 ndi msingi wa kila kitu. Wanaume wengi wamedumnukia kwenye maskini na kufilsika sababu ya kuendekeza wanawake.

Aise wanawke ni chuma ulete mbaya sana.
Kunywa pombe lewa ila ulevi wa wanawake ni hatari sana.

unaweza kuta unahinga pesa ndogo let say 40,000 kwa kila mdada unaekutana nae. Sasa ukiwa unakutana na wadada 6 kwa mwezi utajikuta 240,000 mpaka 300000 umetumia bado pesa ulizo wanunulia vocha, nauli, bia, chakula etc.

Siku hzi kuna vitoto 18 mpaka 23 ukiomba binakupatia mzigo hata uwe na 50yrs
 
Kama kuna wanawake wa hivi bado wabarikiwe
 
Hii ni kwa mtu yeyote. Sio tu anayejitafuta.
 
Mabandiko yamekuwa mengi mwanamke hivi, mwanamke vile..!!! Si mpige nyeto huku mnahifadhi pesa zenu, kwan mmelazimishwa kuwa na wanawake [emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama anajitafuta haswa yaan ni wa mishe za hapa na pale aingie no fap
 
Uzi unahusu waliolemewa na uzinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…