Ndugu yangu nimemtafutia kazi mshahara laki 3, anaikwepa, nimefowadiwa meseji zake anadai ninamnyanyasa. Nifanye nini?

Cry baby huyo , a. K. a mtoto wa mama atakusumbua sana .. kuishi na watu ni kazi mnooo
 
Hiyo 50 ya kila wiki isitishe.
 
Mm nina mdogo wangu kamaliza chuo mwaka juzi huwa simpi hata mia,namwambia akaze tyakko kutafuta pesa zake.

Hawa vijana wa dot com wanapenda maisha laini laini kwa hiyo na ww ukionesha kumjali kwa mambo yasiyo ya lazima wanabweteka sana.

Akili kichwani kwako usilee mtu mzima tena wa kiume asiye jiongeza.
 
Ni bush comer au mtoto wa town?
 
Wala shida sio hiyo 50 unayompa. Huyo bado anajiona ni mdogo yaani anajiona anastahili kulishwa.Shida ni kichwani kwake. Hata husingekuwa unampa 50 angekataa pia kwa vile tu ana pa kulala na kula.
 
Mfukuze
 
Usimpe Tena hiyo 50k mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo stop that token right away utanishukuru
 
Huyo anakuletea jeuri tu hana lolote, anakwepa kazi yako ili apate alaiyotafuta yeye ila baadae ajekusema ulimnyanyasa sana japo wazaz wake walikusaidia...

Samahan lakin naomba niseme unafanya upumbav kumpa 50k kila wiki kwa mtu jobless hiyo pesa ni nyingi sana, that's means una afford kumpa 200k kwa mwezi, si mshahara kabisa wa mtu anae nyonga tai yupo ofisini embu mpotezee kula kulala na kunya kwako inamtosha. Ukiacha kumpa hela 3 months yeye mwenyew atakuambia anataka kaz yoyote...
 
Ajabu ni kuwa anaetunga huu uzi hana kazi ila anamtafutia asie na kazi kama yeye alipo mda huu sebleni kwa kaka ake akiangalia tamthilia ya huba [emoji1][emoji1][emoji1]jamii forum kila mtu ana pesa dah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…