interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Usiposifia utaitwa mchawi kama vile anayesifiwa ni Malaika ambapo hawezi kuwa na kasoro zozote zile kibinadamu.
Wenye hekima walisema ukiwa nyota kiwango kilekile cha sifa unazopewa unapofanya vizuri kitakua Sawa na kiwango cha lawama/matusi ukivurunda.
Ila sisi waswahili tunataka kusifiana tuu hata kama hamna cha kusifu