Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Ngoja tuone lakini jamaa alichezea shilingi chooni ikadumbukia,michezo kama hiyo inahitaji mazoezi sana sasa yeye mda mwingi alikuwa anashinda clubs TZ mara kapigana na TID,Kugegeda hovyo na kina jokate,mda mwingi anashinda kwenye vituo vya redio na TV,ajifunze ingawa nina imani alishafika Peak yake huyo mtu.
kwani akina curry hawagegedi,mbona mnatafutaga majibu kwa mambo msiyoyajua!?...akina oneal,jordan hawakuwa wakigegeda?..mtu yupo likizo asipumzike?
 
Maybe the second time will be the charm ila aache utoto na ajitume. Watanzania wengi walikuwa wanampa ushauri wa maana tu wakati yuko chuo na baada ya kuingia NBA lakini kwa asilimia kubwa hakuufanyia kazi na anguko lake wengi walilitabiri.
hao watanzania wengi wana utaalam wa basketball!?
 
Sasa kama hawana utaalamu alipokuwa hayuko tayari kucheza NBA na wakamwambia akae chuo at least mwaka mmoja zaidi ili aboreshe uchezaji wake mbona aliwasikiliza?

Hili la Hasheem humu tulilijadili kwa kina na mapana akiwa chuoni, NBA na hata kuhusu anguko lake pia.

hao watanzania wengi wana utaalam wa basketball!?
 
Mm naangalia sana Euroleague wachezaji unakuta wanachemsha kwenye nba draft ila wanapambana ulaya hadi wanajikuta wanasajiliwa usajili wa kawaida. yeye aache tabia ya kuridhika hovyo. Aende akatafute nafasi hata Buducnost Voli aonyeshe uwezo ndio awaze Nba Mtu unakosa namba hadi J league Japan alafu uwaze kwenda Bucks. Mfano mzuri Vicent poirier wa baskonia katua celtic ila balaa lake tuliliona spain na Euroleague, Melli, Marco Guduric au yule Shawn larkin wa anadolu efe wameonesha kiwango kikubwa ulaya.
 
Hata hapo alipo sasa si haba. Nakumbuka akiwa Charlie alikuwa akipanda lift pale kitegauchumi, akielekea clouds FM. Hali yake ya kipindi kile na ya sasa inautofauti wa mbingu na ardhi. Mafanikio aliyofikia anahitaji kupongezwa si kidogo!
 
Hizi huruma mnatafuta za nini?

Jamaa alipewa chance mara kibao anaenda na kurudi ila kiwango ni hovyo vile vile!

Kama mtu kiwango ni hovyo ni hovyo sio hovyo halafu unasema kiitwe bora sababu tu it happens mnatoka nae kipande cha ardhi kinaitwa nchi!

Tumia akili mwenye kiwango hovyo anachezaje NBA? hujui kuwa kuna wamarekani kibao wana ndoto ya kufika hapo alipo huyo Mtanzania na wanashindwa kufika? ..
 
Tumia akili mwenye kiwango hovyo anachezaje NBA? hujui kuwa kuna wamarekani kibao wana ndoto ya kufika hapo alipo huyo Mtanzania na wanashindwa kufika? ..
Wabongo tunapenda sana kuhukumu,Sasa ukimuuliza mmoja mmoja hapa mafanikio yako ni nini macho yanatutoka kama mijusi iliyobanwa na mlango, tunapenda kuhukumu wakati sisi wenyewe hatujitumi kwa chochote
 
Back
Top Bottom