Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Stop being a sissy!

Unaleta uzi unaogopa mabishano,fvck outta here!

Hivi unapobishania Pogba anavyocheza vibaya,hivi wewe unaweza cheza mpira kama yeye?

Kwanini unalalamika na kubishana kuhusu hilo au other stars?

Sababu ni kwamba you are fan nigga!Sio eti unajua kucheza kama yeye!

You are such a worldwide pussy giver!

Im an NBA fan fo’real na sio eti najua kucheza professionally kama wao,ila ubishani ni haki ya fans you dummy!

Huyo kibuyu mwenzio hana 10-days hapo lazima awe cut kama mara zingine zote alizojaribu motherfvcker!

Hakuna kitu mle,lia garagaza,hamna kitu....Mkisikia hivyo mnaharisha na ni fact!

Ameshajaribu zaidi ya mara 10,kawa cut...sasa hivi kazeeka mno then atawezea chooni??

Fvck you very much!
Msamehe huyoooo

Ova
 
Wanagegeda vizuri tu ila wakiwa free/mapumziko sasa TOLU wako mda wote yeye yupo DIZIMU wakati wenzake wapo Camp wanafanya Mazoezi ya Kufa MTU,Yeye yupo buzy kuzunguka na kina jokate na kupigana na kina TID.
haiwezekani iwe hivyo,kipindi cha mapumziko ni mapumziko,yale mazoezi unafanya mchezo nini..
 
Kwa vile wewe hujui lolote kuhusu BB usidhani hakuna Watanzania wenye kuujua mchezo huo nje ndani na hivyo kutoa ushauri wa kina.
haiwezekani atolewe hapaaende us kwa ajili ya kikapu halafu aliyempeleka asijue njia za kupita
 
Mtu mweusi ni mtu wa ajabu sana. Mwenyewe tunacheza wote kigilagila stars af eti unasema huko japan kashindwa kwenda sijui ligi gani...yani suala yeye kuwa ligi ya huko tu ni hatua kubwa sana. Wewe mwenzangu unayejifanya mshauri umeishia wapi katika safari yako...utasingizia kazi na shule. Kila mtu anauwezo wake na kiwango chake na sio wote wakali watacheza NBA. sio bahari ile kwamba kila meli inapita. Kongole Hasheem kwa struggle zote na popote utakapokuwepo.
 
Kwa taarifa yako alitaka kukurupuka baada ya mwaka mmoja tu wa chuo aende kwenye NBA Draft. Wabongo wakamweka chini na kumwambia hayuko tayari kwa uchezaji wake hivyo asingekuwemo hata katika 10 top players siku ya draft. NBA players wako tafu sana hivyo arudi chuoni japo kwa mwaka mwingine ili ajifue zaidi na kweli kukawa na improvement kubwa sana iliyomfanya awe second drafted player mwaka ule wa 2009.


haiwezekani atolewe hapaaende us kwa ajili ya kikapu halafu aliyempeleka asijue njia za kupita
 
Kwa taarifa yako alitaka kukurupuka baada ya mwaka mmoja tu wa chuo aende kwenye NBA Draft. Wabongo wakamweka chini na kumwambia hayuko tayari kwa uchezaji wake hivyo asingekuwemo hata katika 10 top players siku ya draft. NBA players wako tafu sana hivyo arudi chuoni japo kwa mwaka mwingine ili ajifue zaidi na kweli kukawa na improvement kubwa sana iliyomfanya awe second drafted player mwaka ule wa 2009.
kwa maneno yake mwenyewe alipofika kule alikua na mentality ya kitanzania,alitaka aache kikapu asome tu chuo apate kazi nzuri,hakuona kama kikapu kitampa hela zaidi ya mshahara wa ofisini,sasa hii baada ya mwaka mmoja we umeitoa wapi!?
 
Ataonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.

wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye

All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
CHADEMA ndiyo zao hizo. Mpee hongera zake
 
Ataonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.

wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye

All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
Uzalendo kwanza au Uwezo kwanza???????????????
 
Back
Top Bottom