#Mitaani Wasimamizi Wanasema Kila kitu: Wewe ni shahidi muhimu sana katika hili unalodai na bahati nzuri IP yako inakusoma vizuri; Kama umeropoka kufurahisha jukwaa ni bora ukiri na kurekebisha. Lakini kama una uhakika kuna msimamizi wa kura alikuthibitishia alilazimishwa kupokea kura ghushi akanyamaza kwa madai ya hofu yake, lakini baada ya kutoka akakutumia wewe kuropoka uzushi huu hapo ni kosa la jinai. Hakuna msimamizi atakuja kwako kukuambia eti alilazimishwa kushiriki wizi wakati akijua aliapa na alikuwa na uwezo wa yeye akatumia feki ID akaweka ujumbe huo hapa jukwaani au kutoa taarifa kwenye tume.