Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Tanzania hakuna Amani bali Tanzania ni kisiwa cha Uvumilivu tu hakuna Amani kabsa cheki Zanzibar na baadhi ya sehemu za Tanganyika kuna Polisiccm wameua wamejeruhi watu ni uvunjifu wa Amani huo lakini watu wanaendelea kuvulia
Wewe nae bado kichwa ngumu ndugu yangu, kweli you believe kuwa hivyo ndo Mambo yanavyofanyika. Hata Kama ungekua ww unataka kuharibu kitu at same time unataka kulinda reputation yako Unaweza kufanya matukio Kama hayo, mbona ni logic ya kawaida zana na maswali simple Sana yanakuonesha a bit of a picture
 
Ata wasingefuta maneno yako ndugu huwezi kuandika au kusema kitu ukaniumiza, na mtu wa kuumia kwa maneno au matusi basi anatakiwa kujichunguza those words should be a motivation and by the way ukiona unaongea na mtu anaanza matusi ujue hanajipya. So Aurora acha kijitia msomi sana watu wasomi sana humu ila wako kimya na kuendeleza midala. More to that, kunawatu wako vijini ni waelewa sana kulikoni weye wamjini[emoji38].
 
Umecopy na kumanipulate figures uatuletea eti tufanye hesabu [emoji38]
 
Hana uhakika Kama ulikua fair sio katamka Kama wanahakika so you how it goes wale washenzi Kama washenzi wengine pia
 
Hii inaitwa Jaribu kuingia Barabarani utatukuta walinda amani tunawasubiri ninyi msiopenda ugali

Mbona ni rahisi Sana, Ingia barabarani nasi tufanye yetu
Sasa andaeni na makaburi yenu kabisa. Maana hatuji kiboya. Mabomu ya petroli kama yote, visu vilivyosheheni makali.

Waageni wake na waume zenu kabisa. Maana kurudi mkiwa hai ni majaaliwa.
 
Sasa andaeni na makaburi yenu kabisa. Maana hatuji kiboya. Mabomu ya petroli kama yote, visu vilivyosheheni makali.

Waageni wake na waume zenu kabisa. Maana kurudi mkiwa hai ni majaaliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we uko mkoa gani? kwasaabu watu wako busy na Mambo yao kama hakuna linaloendelea hapa jijini dsm.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we uko mkoa gani? kwasaabu watu wako busy na Mambo yao kama hakuna linaloendelea hapa jijini dsm.
Usitake kujua niliko. Lkn habari ndiyo hiyo. Polisi wenyewe wanywa gongo nyie nitawamaliza wallah!!
 
Mataga bhana.. kamwambie polepole kuwa janja yao inajulikana
 
No opposition candidate has ever lost an election and graciously conceded. Not one, since 1995 when the first multiparty general election was held!
The elections that have been organised and supervised by the ruling party puppets cannot be accepted as free, fair and credible by all standards.
 
Tundu Lisu usikubali
Kampeni uliifanya kisomi, na ulionyesha uelewa wa hali ya juu sana. “Zing” zote ulizokuwa unamtolea Bwana Yule aliItaka yeye. ulimjibu vizuri sana. Watu wa nchi hii wengi hawajui sias. Agility yako ni ya hali ya juu sana, na uko very intelligent!

wamekuibia haki yako. CCM wake commit Uhaini, yaani treason, watakuja kujibu siku moja! Be happy because you won it
 
Ngoja tuone iyo J3 inakuaje. Je vijana mtaingia barabarani au mtakua nyuma ya keyboard?
 
The elections that have been organised and supervised by the ruling party puppets cannot be accepted as free, fair and credible by all standards.
Let's see what will happen by Monday as of Kamanda Lissu has required and asked all those in his favor to have a peaceful protest in streets. The question is are you among the people to be at frontline or you will just hide behind your keyboard and make some mockery comments to tanzanians?.
 
Kaka acha uwongo huo. Halafu kwanini kutishana? Hakuna mtu mwenye haki zaidi na hii nchi. Wote tunafanana haki zetu.
 
Kama kawaida yako tulikwambia tangu mwanzo hii ni Tanzania na ni ya Watanzania wote hakuna kimburu yoyote yule ambaye ataamua mambo yetu, finito!
 
dhambi ya kuiba kura ukiianza iko siku utaiba waziwazi dunia nzima itajua. ccm mjiandae kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…