Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Kwa maelezo yako na hiyo code, hiyo nchi ni Sweden.

Napata mashaka sehemu moja uliposema huyo mume wa huyo mama ana apartment ya ghorofa 12
Nina uzeofu wa nchi za Scandinavia hasa Norway na Sweden pia nimeenda sana. Sweden Hakuna sana maghorofa marefu kiasi kwamba Kuna mtu aweze kuwa na apartment ya ghorofa 12.

Sheria zao huwa ni ngumu kidogo kwenyekujenga maghorofa marefu. Sasa hiyo apartment ya ghorofa 12 hapo napata mashaka sana na ukweli wa hii story yako.

Ungetaja mji. Sweden na Norway sio US ambapo miji Ina maghorofa marefu sana
 
Kwa maelezo tako na hiyo code, hiyo nchi ni Sweden.

Napata mashaka sehemu moja uliposema huyo mume wa huyo mama ana apartment ya ghorofa 12
Nina uzeofu wa nchi za Scandinavia hasa Norway na Sweden pia nimeenda sana. Sweden Hakuna sana maghorofa marefu kiasi kwamba Kuna mtu aweze kuwa na apartment ya ghorofa 12.

Sheria zao huwa ni ngumu kidogo kwenyekujenga maghorofa marefu. Sasa hiyo apartment ya ghorofa 12 hapo napata mashaka sana na ukweli wa hii story yako.

Ungetaja mji. Sweden na Norway sio US ambapo miji Ina maghorofa marefu sana
Hata Jimbo la Los Angeles ni nadra sana kukuta jengo lenye ghorofa zaidi ya 31 kwenda juu
 
Mkuu ushafeli,umeshindwa kuficha codes za nchi aliyopo huyo ndugu yako ulivyotaja krona tu,huna siri kabisa wewee.

Yaani wazaliwa wa cuba tumeshaju kuwa yupo Sweden huyo ndugu yko na hadi chuo nikutajie chenye hyo hostel iliyo mbali na mji?
Amefeli pakubwa
 
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Ulivyosema Krona tu hata before kuweka country code I knew ni Sweden. My advise aache uoga akatae Km mtu hamtaki and wakimblackmail he can report to the police uko sio Bongo they take any sexual adulation very seriously iwe to a woman or a man. So kinachomzuia hapo ni Ubongo tu asema straight hawataki
 
Hapo wanawake wame mstudy wamejua wana weza kumcontrol na kumtumia kingono kwa jinsi alivyo..

Jamaa ni dhaifu na anaonekana hana exposure..

Watamharibia maisha tu, Wanawake wa kizungu wanataka mwanaume wakumuendesha kama gari bovu na wanajua kutarget wanaume wa hivyo...
 
Hakunaga wazungu wa namna hiyo siku hizi.

Hii ni chai chafu.
Mtu akae atunge chai kwa faida ya Nan? Unajua mtu ambae Ni mweusi ametoka Africa kwenye nchii za weupe tupu Hilo wanajua lipo...Ila Kama unakaa mwanangamala tu shida inaanzia hapo'.
 
Tutajie kwanza nchi. Sasa code hata kwa nchi kweli?
Lengo Ni kupata watu wenye uelewa na Hizo nchi...hivyo kwa wale wasio jua code za hiyo nchi Ni heri tu ' ukosoma na ushauri wa walio soma huko' au kuishi huko' may be Ndio favorable.
 
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Mambo ya vya bure/nafuu, vitamgharimu!
 
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Kwa herufi kubwa
STAY AWAY FROM WHITES ATAKUJA NISHUKURU KUNA WATU WALIPATA MAMAMA ULAYA YANI ATA SUPERMARKET AWAENDI KAZ NI KULA MMAMA WALIKONDA KAMA FITO.

Maybe apate vitoto kimpende mwenyewe na especially huwa wanatokaga darasan
 
Mwambie awe na ubusy na kazi zake na aache kuwafuatilia hao mademu.
 
Back
Top Bottom