Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

Mtu akiwa na Jambo lake kuliko kuleta Hapa Ni Basi tu kuna watu wa bure kabisa..
Watu hupima mawazo anachanganya na ya kwake anapata majibu' Sa hihii
Maana ya jukwaa n Nini? Au wataka afanye yasiyo ili mwishoni aje kutekwa?
Sio kwa level ya daktari angekuwa USSR au Kulwa Jilala au hata Johnthebaptist sawa
 
Kutambua nchi sio kutambua mji! Toa ushauri Ila Kama huwezi Basi amini ujuaji wako ' lakin usilazimishe kuunga dot ili umjue Huyo mtu ndio lengo lako?
Basi alihamia London na issue imemkuta huko: Endelea kuunga dot.
Hata London sio rahisi kukuta apartment ya ghorofa 12

Nchi zote unazotaja sio ambazo zinahusudu majengo marefu.

Hebu nyooka ili tujue hii story uhalisia wake.
 
Nchi gani hiyo??? Hii ni chai isiyo na sukari. Uwe mwanafunzi alafu upate kazi hospitali kiasi cha kupewa mpaka wagonjwa??
Nashindwa kuelewa akili, Elimu & uelewa wa Wana jukwaa wa Jm. forum' yaani kwakuwa bongo wanafunzi wa afya wanaishi kwa boom ndio Hivyo hata vyuo vya nje?
Unajua Ngazi ya Elimu ya dokta Charles Kabla hajaenda nje? Ukisha ishi keko au buguruni unadhani Dar yote inafanana na keko au buguruni!
Usijue Kuna watu wanakaa hapo osterbay & msasani life lao hata Baadhi ya watu wanao kaa marekani hawafikii maana Anaendesha latest car ya 2023 zero kilometer....kutoka German.
 
Rekebisha kwanza hilo suala la apartment ya ghorofa 12 , alafu tuje na haya

Ghorofa 12 Sweden? Norway?
Skia lengo lako Ni ku Tracing Huyo Charles Ni Nan? Au yupi.hilo haliwezi kukusaidia! Kuna Bongo mijengo ya gorofa zaidi 25 alafu nchi za Ulaya useme Hakuna gorofa 12 acha kujiumbua! Unaonekana hujui vitu! Bongo tu Kuna hata gorofa 30 na Zaid! Acha utani eleza uhalisia wa huko Kama unapajua! Wapi Kuna nyumba za Bei Rahisi??
 
Ulivyosema Krona tu hata before kuweka country code I knew ni Sweden. My advise aache uoga akatae Km mtu hamtaki and wakimblackmail he can report to the police uko sio Bongo they take any sexual adulation very seriously iwe to a woman or a man. So kinachomzuia hapo ni Ubongo tu asema straight hawataki
Sawa Hili Nalo litazingatiwa!👍🏾
 
Dokta Charles (hata kama ni wewe) ni mpumbavu mwili mzima. Kwa sababu zifuatazo;
1. Hao wote ni wake za watu. Je haoni hatari inayomkabili? Kuna haja hata ya kumshauri kuhusu mke wa mtu?
2. Ni mwongo. Yeye ndo anawataka hao wanawake kwasababu kwanza ni ngumu mama wa kizungu ghafla tu akatae kuchomwa sindano na nesi atake kuchomwa na dokta. Pia mke wa askari alipataje namba za Chalz?
USHAURI WANGU: Aaache upumbavu.
 
Dokta Charles (hata kama ni wewe) ni mpumbavu mwili mzima. Kwa sababu zifuatazo;
1. Hao wote ni wake za watu. Je haoni hatari inayomkabili? Kuna haja hata ya kumshauri kuhusu mke wa mtu?
2. Ni mwongo. Yeye ndo anawataka hao wanawake kwasababu kwanza ni ngumu mama wa kizungu ghafla tu akatae kuchomwa sindano na nesi atake kuchomwa na dokta. Pia mke wa askari alipataje namba za Chalz?
USHAURI WANGU: Aaache upumbavu.
Ushauri wako Ni mkali Ila uzuri umejibu kwa Hoja upo sio mbali na usmart Ila sio smart!
1.Nilisema nimefupisha story isiwe ndefu!
Hakukua na Haja kueleza kila kitu' maana siyo vyema pia.
Kuhusu sindano Nurse wa kike hakuwa zamu ikabidi aje achomwe kesho yake' Doris akakataa kusubiri ..maana madokta wa kizungu walimwamini Charles kwenye hiyo case hata mgonjwa naye Alimwamini kwa haraka zaidi.
Kuhusu'
namba! Charles alivyo fika pale hakuwa na Eneo lake la parking maana kulikuwa na Gari zimepaki nyingne haziko sawa' hivyo akawa Ana park nje ya gate hapo japo Ni Risk '
sasa siku ameshuka kupark nje ya gate akakutana na yule mke wa asikari ..akamuuliza unakaa huku ndani? Charles akamjibu ndio! Akamwambie kwa kuwa ww' ndio mweusi pekee unakaa huku ndani inabidi tujue details zako' vizuri kwa usalama wako na wetu pia!
Charles akampa kila kitu' mpaka vitambulisho maana Dada Huyo alikuwa ndani ya uniform!
Alivyo jua Ni dokta akasema sorry cjajua Mengi kuhusu ww Ila kwa usalama nimejua na pia nitakupa sehemu ya kupark Gari ambapo sio sehemu yangu Bali niliomba hapo kupark Gari yangu iliyo mbovu' Ila Sasa nitaiuza hivi karbuni maana nimepata mteja..Nipe namba yako nitakupigia nikisha uza hiyo Gari ili upate parking usi park Gari nje ya gate!
......Baada ya hapo alipata parking ya kupark Gari yake Ila kumbuka Hilo Eneo la parking Ni la mke wa baharia wa meli ' alimpa mke wa afisa polisi ..mke wa afisa katoa bila ruhusa'...
...kisa Ni kirefu ' nikielezea yote...Haina maana itoshe kusema unashuri Nini hapo!
Ashauriwe Nini. Dokta Charles?
Jukwaa la waswahili hao wazungu hawapo umu' Toa mawazo yako positive,.
 
wale wanao fikiria Mtego upo wapi hapo' kwakuwa wanafikiri kila kitu' kipo kimekaa kimapenzi tu au mahaba la sivyo!!
Dokta Charles Amepata sehemu ya parking ya Gari yake kupitia mke wa Afisa wa polisi!
Ila parking siyo yake Ni ya mke wa baharia wa meli!
Ila Alie mpa parking Alisha mtilia mashaka kwa kuwa yeye Ni mweusi na kumhoji Sana Baada ya kujua kuwa yeye Ni dokta ndio anaanza kuwa Rafiki yake' je utamwamini Huyo mwanamke ikiwa Ni wewe?
Pili yule ambae parking Ni ya kwake Kuna saa anakuja kuweka Gari yake kwa nyuma Baada ya dokta Charles kupark Gari yake, je unathania na huyo Ni mahaba ya kweli?
Ikiwa hao wapangaji hawa mtaki mpangaji mweusi Aishi hapo maana yeye ndie mweusi peke yake , wanamtega ili aingia line wapate mashtaka ya kumwondoa kwenye apartment yeye Atajuaje!
Unasema ukashtaki ukashtaki mke wa afisa wa polisi au baharia wa meli?
...Akaombe parking ! Lakin yeye ndio analipa ndogo kuliko wote'...
Hata wapangaji hawajui Hilo ndio maana Wana mheshimu vile vile Wana mtilia mashaka pia...Ila walikuwa wanamtilia mashaka kabla ya kujua kazi yake..huyu ana kaa Hapa! Kweli? Na Ana uwezo wa kulipa sawa na sisi?
Hivyo visa vingne Huenda na mitego ya kumwangusha ..Tofauti tu Doris Ambae Dokta Charles aliweza mtibu Malaria....na kumpa apartment kwa Bei Rahisi hao wengne Hawaaminiki!
Huenda wametumwa na wanaume zao' Haijulikani.
Hivyo sio kila kitu' Ni ku judge kwa uwepo wa akili yako Mwenyewe!
 
Kwa wale wanao fikiria Mtego upo wapi hapo' kwakuwa wanafikiri kila kitu' kipo kimekaa kimapenzi tu au mahaba la sivyo!!
Dokta Charles Amepata sehemu ya parking ya Gari yake kupitia mke wa Afisa wa polisi!
Ila parking siyo yake Ni ya mke wa baharia wa meli!
Ila Alie mpa parking Alisha mtilia mashaka kwa kuwa yeye Ni mweusi na kumhoji Sana Baada ya kujua kuwa yeye Ni dokta ndio anaanza kuwa Rafiki yake' je utamwamini Huyo mwanamke ikiwa Ni wewe?
Pili yule ambae parking Ni ya kwake Kuna saa anakuja kuweka Gari yake kwa nyuma Baada ya dokta Charles kupark Gari yake, je unathania na huyo Ni mahaba ya kweli?
Ikiwa Ni Hawa mtaki Aishi hapo maana yeye ndie mweusi peke yake , wanamtega ili aingia line wapate mashtaka ya kumwondoa kwenye apartment yeye Atajuaje!
Unasema ukashtaki ukashtaki mke wa afisa wa polisi au baharia wa meli?
Akaombe parking ! Lakin yeye ndio analipa ndogo kuliko wote'...
Hata wapangaji hawajui Ila walikuwa wanamtilia mashaka tu huyu ana kaaa Hapa! Na Ana uwezo wa kulipa sawa na sisi?
Hivyo visa vingne Huenda na mitego ya kumwangusha ..Tofauti tu Doris aliye weza mtibu.na kumpa apartment kwa Bei Rahisi hao wengne Hawaaminiki!
Huenda wametumwa na wanaume zao' Haijulikani.
Hivyo sio kila kitu' Ni ku judge kwa uwepo wa akili yako Mwenyewe!
 
Back
Top Bottom