BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
- Thread starter
- #81
Ongezea sukari basiiiChai hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea sukari basiiiChai hii
Mimi hata kibaha sijafika Ila nilivyowaelewa wadau ni kuwa hakuna apartment ya ghorofa 12 na sio kwamba hakuna majengo ya shughuli nyingine ya ghorofa hizo, Ila pia kuwa makini nahisi wanataka ufunguke zaidi ili wamfahamu muhusikaSkia lengo lako Ni ku Tracing Huyo Charles Ni Nan? Au yupi.hilo haliwezi kukusaidia! Kuna Bongo mijengo ya gorofa zaidi 25 alafu nchi za Ulaya useme Hakuna gorofa 12 acha kujiumbua! Unaonekana hujui vitu! Bongo tu Kuna hata gorofa 30 na Zaid! Acha utani eleza uhalisia wa huko Kama unapajua! Wapi Kuna nyumba za Bei Rahisi??
Deportee ni nini??Akipigwa deportee bongo lazima awe teja,
Itakuwa ni swiden hiyoTutajie kwanza nchi. Sasa code hata kwa nchi kweli?
Chai tupu. "Ushauri wako Ni mkali Ila uzuri umejibu kwa Hoja upo sio mbali na usmart Ila sio smart!
1.Nilisema nimefupisha story isiwe ndefu!
Hakukua na Haja kueleza kila kitu' maana siyo vyema pia.
Kuhusu sindano Nurse wa kike hakuwa zamu ikabidi aje achomwe kesho yake' Doris akakataa kusubiri ..maana madokta wa kizungu walimwamini Charles kwenye hiyo case hata mgonjwa naye Alimwamini kwa haraka zaidi.
Kuhusu'
namba! Charles alivyo fika pale hakuwa na Eneo lake la parking maana kulikuwa na Gari zimepaki nyingne haziko sawa' hivyo akawa Ana park nje ya gate hapo japo Ni Risk '
sasa siku ameshuka kupark nje ya gate akakutana na yule mke wa asikari ..akamuuliza unakaa huku ndani? Charles akamjibu ndio! Akamwambie kwa kuwa ww' ndio mweusi pekee unakaa huku ndani inabidi tujue details zako' vizuri kwa usalama wako na wetu pia!
Charles akampa kila kitu' mpaka vitambulisho maana Dada Huyo alikuwa ndani ya uniform!
Alivyo jua Ni dokta akasema sorry cjajua Mengi kuhusu ww Ila kwa usalama nimejua na pia nitakupa sehemu ya kupark Gari ambapo sio sehemu yangu Bali niliomba hapo kupark Gari yangu iliyo mbovu' Ila Sasa nitaiuza hivi karbuni maana nimepata mteja..Nipe namba yako nitakupigia nikisha uza hiyo Gari ili upate parking usi park Gari nje ya gate!
......Baada ya hapo alipata parking ya kupark Gari yake Ila kumbuka Hilo Eneo la parking Ni la mke wa baharia wa meli ' alimpa mke wa afisa polisi ..mke wa afisa katoa bila ruhusa'...
...kisa Ni kirefu ' nikielezea yote...Haina maana itoshe kusema unashuri Nini hapo!
Ashauriwe Nini. Dokta Charles?
Jukwaa la waswahili hao wazungu hawapo umu' Toa mawazo yako positive,.
Acha kuwasingizia mabeberu huu upuuzi. Hapa bongo na ujinga wetu wote hakuna mgonjwa anayeweza ambiwa utachomwa sindano kesho kwa sababu nesi hayupo. Ukitaka kuleta CHAI jipange vizuri.Kuhusu sindano Nurse wa kike hakuwa zamu ikabidi aje achomwe kesho yake'
awaepuke wote,aangalie kazi zake tu,na zaidi ya hapo atafute demu ambae yuko free amchukue akae nae hapo kwenye appartmentUshauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.
Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!
Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.
Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.
Dokta Tumwite Charles...
Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.
Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.
Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.
Siku siyo nyingi akapona.
Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris
Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.
Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?
Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.
Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.
Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.
Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.
Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.
Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.
Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.
Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.
Mkataba ni miaka 3 na nusu.
Mkataba umenza January 2023.
Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.
Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.
Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.
Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.
Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!
Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.
Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari
Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.
Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.
Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?
Mpira uko kwenu wana jukwaaa.
Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46
Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Nchi gani hiyo??? Hii ni chai isiyo na sukari. Uwe mwanafunzi alafu upate kazi hospitali kiasi cha kupewa mpaka wagonjwa??
Kwa maelezo yako na hiyo code, hiyo nchi ni Sweden.
Napata mashaka sehemu moja uliposema huyo mume wa huyo mama ana apartment ya ghorofa 12
Nina uzeofu wa nchi za Scandinavia hasa Norway na Sweden pia nimeenda sana. Sweden Hakuna sana maghorofa marefu kiasi kwamba Kuna mtu aweze kuwa na apartment ya ghorofa 12.
Sheria zao huwa ni ngumu kidogo kwenyekujenga maghorofa marefu. Sasa hiyo apartment ya ghorofa 12 hapo napata mashaka sana na ukweli wa hii story yako.
Ungetaja mji. Sweden na Norway sio US ambapo miji Ina maghorofa marefu sana
Chai hii
Hiyo comment imekuuma eeeh!! Maana umeiquote na kuijibu mara nne🤣🤣🤣🤣Kupitia uelewa wako Duni bila Exposure yoyote Ni uwongo uaminivyo ww!
Kama umefika hiyo nchi elezea zilipo nyumba za Bei nafuu' Ila kuhusu uwongo cjui nn? Elezea unacho kujua Cha kweli wapi Kuna nyumba au apay za Bei nafuu'??
🤣🤣🤣Chai said who?? Wabongo hatuna exposure kabisa mbona ni kawaida kwa wanafunzi kupewa wagonjwa what if anasoma masters au phd?? Dooh kazi kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti exposure, kufanya kazi za kitaaluma nchi za ulaya unahitaji leseni kutoka bodi ya taaluma husika.
Kwa mfano ili ufanye kazi ya udaktari nchini Sweden unahitaji usajiliwe na bodi yao ya isajili ambayo ina masharti kadhaa kama ikiwa ni pamoja na mafunzo ya mwaka mmoja kwa waliopata elimu ua udaktari nje ya EU/Nordic countries, kujifunza lugha ya ki swidi n.k
Ukiwa mwanafunzi hauwezi kutimiza masharti hayo, kwenye taaluma ulaya sio kama bongo, wako very strict.
BTW, ninesoma elimu ya juu UK, ambako masharti ni magumu zaidi, kwa kifupi ukiwa full time student hauruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 20 kwa wiki!
Ndio maana wanafunzi almost wote wanakwenda kusoma ulaya wanafanya kazi zisizohitaji usajili kama vile cashier, cleaner, bar tending N.K
Alichokiandika mleta mada ni uongo mtupu!
Haya, there is no need to argue. Huna unalolijua na kwa bahati mbaya unadhani unajua.Hapana sio uongo shida ni kujifanya mnajua kila kitu wakati hamjui pia mambo mengi sana yanabadilika kuna favors nyingi sana nowadays zinatolewa na serikali husika kwa wanafunzi hasa wanaotoka africa…kusoma UK sio shida unaweza kuwa umesoma UK lakini ni miaka 20 iliyopita[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee mambo yanabadilika…vitu vinabadilika sio wewe tu watu kibao tumesoma nje na kufanya kazi nje tena juzi juzi tu tukiwa na umri mdogo[emoji23][emoji23] na hata haturingi[emoji23] wala hatuna ujuaji tumetulia tu,
Uongo how?? Mtu atunge hii thread kwa faida ya nani???
Hii thread ipo very relevant shida yako/ yenu ujuaji mwingi wakati hamjui kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya, there is no need to argue. Huna unalolijua na kwa bahati mbaya unadhani unajua.
Ndio afu usibishe bishe kwanza ata passport huna..wana Jf wote humu tuko Ulaya na tusha fika UlayaSweeden nzima na norway hakuna apartment yenye ghorofa 12?? Kweli?? Kuweni serious aisee stop ‘much know’
Ndio haikuwa comment nzuri!Hiyo comment imekuuma eeeh!! Maana umeiquote na kuijibu mara nne🤣🤣🤣🤣