Ndugu zangu hii siyo love bite kweli?

Ndugu zangu hii siyo love bite kweli?

Bila shaka atakuwa nyuki, kuna dawa naifahamu inaitwa Botulinum toxin injection mchome hapo hapo kwenye shingo atakuwa sawa kama akiamka...
 
Pole mkuu ,yanaumaga sana kwa mara ya kwanza au ukigundua mapenzi yameshift.
 

Attachments

  • Screenshot_20230602-184824.png
    Screenshot_20230602-184824.png
    296.8 KB · Views: 2
Ndio si mdudu wa jicho moja kwani unadhani nini?? Kashakandwa huyoo
 
Anakuletea Mawawaa!!!wewe elewa ni mdudu amemtembelea,,au nipasie namba zake shem wangu nimuhoji vizuri kama hutojali lakini!!
 
Back
Top Bottom