Hamna mapenzi hapo uyo ni nyonya mpige chini fastaa
Alafu kademu kenyewe utakuta kabayaa kanajichubua na mibrichi yake kichwani ndo kanakupelekesha hivyo pigaaa chiniiii uyo
Demu ni mzuri. Ana shape , ana rangi, ana sura. HANA AKILI.Hamna mapenzi hapo uyo ni nyonya mpige chini fastaa
Alafu kademu kenyewe utakuta kabayaa kanajichubua na mibrichi yake kichwani ndo kanakupelekesha hivyo pigaaa chiniiii uyo
Si ndo mambo unsyoyapenda vumilia tu akili Mtatumia zako😀Demu ni mzuri. Ana shape , ana rangi, ana sura. HANA AKILI.
be positive tu kwenye maisha utatoboaHuyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza.
Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki naye nikitegemea angekuwa na akili maana alisoma IFM ana degree na yupo kazini Bank flan hivi. But naona mabalaaa tu yananiandama na hawa wanawake.
Mtu unamwambia una msiba bado anapata nguvu ya kuomba 200,000 ya kuchangia send off. Ana akili kweli huyu? Mi nakosea wapi ndugu zangu? Why me always?
View attachment 2690541
Aaargh sasa wewe dada sikufahamu unaniambia nikutumie pesa tuonane... Nakwambia siwezi unaona mi mjuaji. Kwa hili acha niwe mjuaji dada. Nimeshalizwa sana pesa sasa inatosha. Nyie matapeli mpo wengi sanaNaomba tu nikuambie ukweli wewe huna gundu kinacho kuponza ni ujuaji. Nimekuona sehemu kadhaa ukileta ujuaji na huko nikakuambia.
Hata kama unajua vipi , hata kama unaakili, hata kama unapesa vipi, hata kama unamali kiasi gani au unawadharau wanawake kiasi gani jinsi ya kuongea nao ili uteke akili zao na uvune utelezi wao.
Ila wewe ni mbulula huwezi
Hilo sandarusiYaani unampa mtu taarifa za msiba yeye anakupa taarifa za mchango wa send-off sijui,
Hivi hizo kabrasha na mafurushi huwa mnayaokotea wapi?
Si alipaswa ajiandae aje msibani kukufariji mfiwa?
Usitafute mwanamke mwenye mentality ya kuomba pesa......USIOE MWANAMKE WA HIVYO...Aaargh sasa wewe dada sikufahamu unaniambia nikutumie pesa tuonane... Nakwambia siwezi unaona mi mjuaji. Kwa hili acha niwe mjuaji dada. Nimeshalizwa sana pesa sasa inatosha. Nyie matapeli mpo wengi sana
Ushauri Mzuri sana mtoa mada aufanyie kazi Leo umeamua uwe serious madini kama haya mtoa mada angepataje sasaMkuu una umri gani?Hadi wanawake wanakupelekesha hivo,hujihurumii kwanini usitulie kwanza kama muislam funga omba Mungu akupe mtu sahihi sikuzote unapokuwa na haraka ya kufanya jambo flani ndio madhar Huwa hayo tulia jitathmini wanawake wema ni wengi tu
Mtu Asiyejulikana
Hii wiki nipo serious sana😀😀Ushauri Mzuri sana mtoa mada aufanyie kazi Leo umeamua uwe serious madini kama haya mtoa mada angepataje sasa
Awe na mvuto kidgo..usioe mwanamke ambae ukimuangalia humtamani wala huna hisia naeTafuta mzuri aliomaliza form four akafeli ongea na wazazi wake weka ndani, hautojuta.
Sio kupambana na ayo majoka ya mdimu, mwanamke akipata exposure sana nayo ni tatizo.
🤣🤣🤣🤣🤣Si ndo mambo unsyoyapenda vumilia tu akili Mtatumia zako😀
Si ndo mambo unsyoyapenda vumilia tu akili Mtatumia zako😀
Basi tutegemee madini mengi kutoka kwakoHii wiki nipo serious sana😀😀
Aisee unavumilia hao ngedere kiasi hicho, ukiwa na pesa unaringa Tupa kule hicho kitumbili,Huyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza.
Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki naye nikitegemea angekuwa na akili maana alisoma IFM ana degree na yupo kazini Bank flan hivi. But naona mabalaaa tu yananiandama na hawa wanawake.
Mtu unamwambia una msiba bado anapata nguvu ya kuomba 200,000 ya kuchangia send off. Ana akili kweli huyu? Mi nakosea wapi ndugu zangu? Why me always?
View attachment 2690541
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza una uhakika huyo ni msomi? Au labda kaishia certificate hapo IFM na hapo bank amewekwa kimchongo.
Hajakaa kama mwanamke anayejielewa. Futa namba haraka na umblok kabisa.