Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Please welcome to my ignore listIvi kweli umekaa ukaandika kabisa huu upuuzi sasa hapo shida iko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Please welcome to my ignore listIvi kweli umekaa ukaandika kabisa huu upuuzi sasa hapo shida iko wapi
Sawa mkuu. Wewe akili yako kubwa. Tuache sisi wenye IQ ndogo
Wewe pia anzisha thread yako tu boss wangu. Kwani ugumu upo wapi?Kazi ipo!
Dah!!!!!!!!
Wakati mwingine ni vigumu sana kuamini lakini ndo hivyo, hii hapa thread!!!
Watoto wengi humu..halafu empty set,ndiyo maana Kuna wakongwe siwaoni
Sawa mtu mzima. Hakika wewe ni geniusWatoto wengi humu..halafu empty set,ndiyo maana Kuna wakongwe siwaoni
Habari zenu jamiiforums.
View attachment 2378612
Mama wa umri wa miaka 62 technically hawezi kuwa na mtoto wa miaka 13 wa kufanya mtihani wa darasa la saba.
FROM WIKIPEDIA
===
Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who has been serving since 19 March 2021 as the sixth (and first female) president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
😁😁😁, sawa kiongozi!Wewe pia anzisha thread yako tu boss wangu. Kwani ugumu upo wapi?
Zanzibar wanazaa hata mtu akifika miaka 12 mkuu so sugu mwanae wa kwanzaRais Samia alimwita sugu mwanangu au malima anamwita mwanangu ni bora awe anasema mdogo wangu maana kamzidi sugu miaka 10 tu
KabisaHili nalo wataliangalia
Who manages her social media accounts?Hakuna anayependa uzee, mkuu usimlazimishe kuwa bibi