Ndugu zangu naombeni ushauri

Ndugu zangu naombeni ushauri

Nashauri rafiki zako wa karibu wawe karibu sana na wew pamoja na nyendo zako, hatutaki habari za "mwanafunzi ajinyonga chuoni".
 
Mimi ni Kijana miaka 22, nipo mwaka wa pili moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu.

Nilipo fika chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana Kuna binti nilimpenda sana, Yy alikuwa mwaka wa tatu diploma ya nursing and midwifery, na nilikuwa na salinae CASFETA apa chuoni, baada ya apo Nika mweleza kwamba mm na mpenda na simtak kwa ajiri ya sex, hapan kwa ajiri ya maisha kiufup tujeng mahusiano hadi apo MUNGU atakapo tuunganisha rasmi kama mke na mume.

Kiukwel Ilikuwa ngumu sana kw yy kukubali mana nilitumia muda mrefu kumwambia lakn Ikawa ngumu sana, nilitumia almost miezi sita, mwezi wa tano mwaka Jana akakubali, tukawa kwenye mahusiano ambayo kiukwel nilitumia Nguvu nyingi sana kuyalinda mana sms nilikuwa natuma mm kiufup huyu binti Hakuwa kama na mpango na mm vile....... Lkan Kila alipokuwa na shida mm nili msaidia, alikuwa akiomba pesa mm na mpa, Wala sikujali jnsi ambavyo Yy ana Ni care.

Mwez wa Saba nikaenda Field kwetu huko magharibi mwa Tanzania, lkan Cha ajabu akanza visa mana yy alibak Mbeya chuo akimaliza masomo yake ya uuguzi, visa vikawa vingi mara anasema tuachane, kiufup akataka tuachane lkan mm nili mbembeleza Sana akatulia.

Nilipo rudi mbeya mwezi wa kumi mwaka Jana kuendelea na mwaka wa pili ndip huyu binti alipo SEMA hataki tuendlee kwenye mahusiano, na hawajih kunipenda na ana ni chukulia kama kaka na anaomba tuwe marafiki wa kawaida, kiukwel nilliumia sana.

Mana Toka nizaliwe sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Nikasema sawa Haina budi japo Moyo uliumia sana na sikujua sabaini ipi ya yeye kusema tuachane, Cha ajabu Toka apo akawa akiwa na shida mm na msaidia kama kawaida Niki Amin kwa kufanya hayo atanipenda.

📌📌 Siku ya Jana nilingea nae kwa simu mana kwao ni apa apa mbeyA, Nika mbembeleza turudiand mana na mpenda majibu alio nipa ni Aya apa chini nimeya bold alituma kwa sms📌📌

"Sina Cha Kuaidi Sababu Sina Hakika Kutmiza Ahad"

"Na Usiweke 2maini Lolote Kwangu."

"Sikupendi Na Sijawah Kukupenda Mungu Shaidi."

"Vng Vya Kufanya Shda Kuna Kizuiz Ndugu Yangu Ni Wewe Ulinishaur Kuusu Kuomb Nimeomba Sasa ,,,mungu Kaonesha Bado Yeye Tu Kutenda Ndio Maana Nimexema 2one Mwisho Itakuaje Maana Mwenyewe Niko Njia Panda Siamin Nilichokiona Na Syo Mala Moja ,,nmeota Ninapete Kwenye Kdore Ujue Na M2 Alie Nivesha Ni Mwngne Kabisa Sijawah Muwaza Wala Kumfikilia Afu Wew Ndio Unaxema Ni Wewe Unanichanganya Ett "

"Me Nakuambia Huu Ni Ukwel Mungu Shaidi Nilipo Hap Njia Panda Hata Sielew ,,"

"Ngja 2one Hatma Yake Itakua Wap Kwenye Ili Jambo Mm Nisikulupuke Maana Wewe Hujakulupuka Umelifkilia Kwa Makn Na Kumuomb Mungu Kama Unavyoxema Na Me Niache Nimuombe Mungu 2one Ad Mwisho"

Wakuu hizo apo ni baadhi ya sms zake, kiukwel roho Ina niuma Saba sijui ni fanye nini, sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Na. Kuna baadhi ya mambo sipend kuyasema alishafanya kipind tupo kwenye mahusiano mm nikavumila sita ya SEMA.

Kaka, dada, baba na mama zangu naombeni ushauri wenu.
Apo
Nenda kasome uzi wa kula kimasihara utajifunza attraction kati ya mwanaume na mwanamke.
Hata kama mlokole kiasi gani utateseka kama huelewi jinsi ya kumvutia mwanamke.

Badili mbinu, mbinu ulizotumia usitumie tena.
 
Mjenge maisha kwa pesa ambayo serikali inawapa kujikimu na maisha magumu.Hapo chuoni kwenu CUCOM Catholic University of Mbeya zamani SAUT-Mbeya ndicho mnachofundishwa? Na hiyo binti wa hapo Kys college of Health au St Aggrey ndie anaekuchanganya?
 
6a0f9fe235b0408fbf1e4d852bfd55d0_331674450_926431288506578_1662859858280272171_n.jpg
 
Wewe si ndo ulisema "una siku 12 tangu uache punyeto lakini mapaja yanakuwasha [emoji16] " ukaomba tukushauri.

ukasema tena "siku ya harusi ya huyo msichana maana siyo mwanamke utafanya juu chini kuharibu siku ya harusi
yake [emoji16] " ukaomba tukushauri.

Leo tena umekuja na porojo zingine aisee we jamaaa [emoji16][emoji16]
 
Usipo kua makini mapenzi yatakufanya uchanganyikiwe mpaka usieleweke kabisa.. inshort ukiona unaforce au unatumia nguvu kubwa mwanamke akupende jua utakufa masikini na mwisho wako utajutia sana
 
Mimi ni Kijana miaka 22, nipo mwaka wa pili moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu.

Nilipo fika chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana Kuna binti nilimpenda sana, Yy alikuwa mwaka wa tatu diploma ya nursing and midwifery, na nilikuwa na salinae CASFETA apa chuoni, baada ya apo Nika mweleza kwamba mm na mpenda na simtak kwa ajiri ya sex, hapan kwa ajiri ya maisha kiufup tujeng mahusiano hadi apo MUNGU atakapo tuunganisha rasmi kama mke na mume.

Kiukwel Ilikuwa ngumu sana kw yy kukubali mana nilitumia muda mrefu kumwambia lakn Ikawa ngumu sana, nilitumia almost miezi sita, mwezi wa tano mwaka Jana akakubali, tukawa kwenye mahusiano ambayo kiukwel nilitumia Nguvu nyingi sana kuyalinda mana sms nilikuwa natuma mm kiufup huyu binti Hakuwa kama na mpango na mm vile....... Lkan Kila alipokuwa na shida mm nili msaidia, alikuwa akiomba pesa mm na mpa, Wala sikujali jnsi ambavyo Yy ana Ni care.

Mwez wa Saba nikaenda Field kwetu huko magharibi mwa Tanzania, lkan Cha ajabu akanza visa mana yy alibak Mbeya chuo akimaliza masomo yake ya uuguzi, visa vikawa vingi mara anasema tuachane, kiufup akataka tuachane lkan mm nili mbembeleza Sana akatulia.

Nilipo rudi mbeya mwezi wa kumi mwaka Jana kuendelea na mwaka wa pili ndip huyu binti alipo SEMA hataki tuendlee kwenye mahusiano, na hawajih kunipenda na ana ni chukulia kama kaka na anaomba tuwe marafiki wa kawaida, kiukwel nilliumia sana.

Mana Toka nizaliwe sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Nikasema sawa Haina budi japo Moyo uliumia sana na sikujua sabaini ipi ya yeye kusema tuachane, Cha ajabu Toka apo akawa akiwa na shida mm na msaidia kama kawaida Niki Amin kwa kufanya hayo atanipenda.

[emoji419][emoji419] Siku ya Jana nilingea nae kwa simu mana kwao ni apa apa mbeyA, Nika mbembeleza turudiand mana na mpenda majibu alio nipa ni Aya apa chini nimeya bold alituma kwa sms[emoji419][emoji419]

"Sina Cha Kuaidi Sababu Sina Hakika Kutmiza Ahad"

"Na Usiweke 2maini Lolote Kwangu."

"Sikupendi Na Sijawah Kukupenda Mungu Shaidi."

"Vng Vya Kufanya Shda Kuna Kizuiz Ndugu Yangu Ni Wewe Ulinishaur Kuusu Kuomb Nimeomba Sasa ,,,mungu Kaonesha Bado Yeye Tu Kutenda Ndio Maana Nimexema 2one Mwisho Itakuaje Maana Mwenyewe Niko Njia Panda Siamin Nilichokiona Na Syo Mala Moja ,,nmeota Ninapete Kwenye Kdore Ujue Na M2 Alie Nivesha Ni Mwngne Kabisa Sijawah Muwaza Wala Kumfikilia Afu Wew Ndio Unaxema Ni Wewe Unanichanganya Ett "

"Me Nakuambia Huu Ni Ukwel Mungu Shaidi Nilipo Hap Njia Panda Hata Sielew ,,"

"Ngja 2one Hatma Yake Itakua Wap Kwenye Ili Jambo Mm Nisikulupuke Maana Wewe Hujakulupuka Umelifkilia Kwa Makn Na Kumuomb Mungu Kama Unavyoxema Na Me Niache Nimuombe Mungu 2one Ad Mwisho"

Wakuu hizo apo ni baadhi ya sms zake, kiukwel roho Ina niuma Saba sijui ni fanye nini, sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Na. Kuna baadhi ya mambo sipend kuyasema alishafanya kipind tupo kwenye mahusiano mm nikavumila sita ya SEMA.

Kaka, dada, baba na mama zangu naombeni ushauri wenu.
Apo

Ushauri ni usome kwanza man. Ukifanikiwa kukaa pazuri watakuja wenyewe , at your age mapenzi yasikuendeshe. Ameshasema hataki hataki move on, amishia huo uchungu kwenye mafanikio badala ya kumlilia mtoto wa mtu asie na mpango na ww
 
Mimi ni Kijana miaka 22, nipo mwaka wa pili moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu.

Nilipo fika chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana Kuna binti nilimpenda sana, Yy alikuwa mwaka wa tatu diploma ya nursing and midwifery, na nilikuwa na salinae CASFETA apa chuoni, baada ya apo Nika mweleza kwamba mm na mpenda na simtak kwa ajiri ya sex, hapan kwa ajiri ya maisha kiufup tujeng mahusiano hadi apo MUNGU atakapo tuunganisha rasmi kama mke na mume.

Kiukwel Ilikuwa ngumu sana kw yy kukubali mana nilitumia muda mrefu kumwambia lakn Ikawa ngumu sana, nilitumia almost miezi sita, mwezi wa tano mwaka Jana akakubali, tukawa kwenye mahusiano ambayo kiukwel nilitumia Nguvu nyingi sana kuyalinda mana sms nilikuwa natuma mm kiufup huyu binti Hakuwa kama na mpango na mm vile....... Lkan Kila alipokuwa na shida mm nili msaidia, alikuwa akiomba pesa mm na mpa, Wala sikujali jnsi ambavyo Yy ana Ni care.

Mwez wa Saba nikaenda Field kwetu huko magharibi mwa Tanzania, lkan Cha ajabu akanza visa mana yy alibak Mbeya chuo akimaliza masomo yake ya uuguzi, visa vikawa vingi mara anasema tuachane, kiufup akataka tuachane lkan mm nili mbembeleza Sana akatulia.

Nilipo rudi mbeya mwezi wa kumi mwaka Jana kuendelea na mwaka wa pili ndip huyu binti alipo SEMA hataki tuendlee kwenye mahusiano, na hawajih kunipenda na ana ni chukulia kama kaka na anaomba tuwe marafiki wa kawaida, kiukwel nilliumia sana.

Mana Toka nizaliwe sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Nikasema sawa Haina budi japo Moyo uliumia sana na sikujua sabaini ipi ya yeye kusema tuachane, Cha ajabu Toka apo akawa akiwa na shida mm na msaidia kama kawaida Niki Amin kwa kufanya hayo atanipenda.

[emoji419][emoji419] Siku ya Jana nilingea nae kwa simu mana kwao ni apa apa mbeyA, Nika mbembeleza turudiand mana na mpenda majibu alio nipa ni Aya apa chini nimeya bold alituma kwa sms[emoji419][emoji419]

"Sina Cha Kuaidi Sababu Sina Hakika Kutmiza Ahad"

"Na Usiweke 2maini Lolote Kwangu."

"Sikupendi Na Sijawah Kukupenda Mungu Shaidi."

"Vng Vya Kufanya Shda Kuna Kizuiz Ndugu Yangu Ni Wewe Ulinishaur Kuusu Kuomb Nimeomba Sasa ,,,mungu Kaonesha Bado Yeye Tu Kutenda Ndio Maana Nimexema 2one Mwisho Itakuaje Maana Mwenyewe Niko Njia Panda Siamin Nilichokiona Na Syo Mala Moja ,,nmeota Ninapete Kwenye Kdore Ujue Na M2 Alie Nivesha Ni Mwngne Kabisa Sijawah Muwaza Wala Kumfikilia Afu Wew Ndio Unaxema Ni Wewe Unanichanganya Ett "

"Me Nakuambia Huu Ni Ukwel Mungu Shaidi Nilipo Hap Njia Panda Hata Sielew ,,"

"Ngja 2one Hatma Yake Itakua Wap Kwenye Ili Jambo Mm Nisikulupuke Maana Wewe Hujakulupuka Umelifkilia Kwa Makn Na Kumuomb Mungu Kama Unavyoxema Na Me Niache Nimuombe Mungu 2one Ad Mwisho"

Wakuu hizo apo ni baadhi ya sms zake, kiukwel roho Ina niuma Saba sijui ni fanye nini, sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Na. Kuna baadhi ya mambo sipend kuyasema alishafanya kipind tupo kwenye mahusiano mm nikavumila sita ya SEMA.

Kaka, dada, baba na mama zangu naombeni ushauri wenu.
Apo
Weee mpuuzi embu achana na mapenzi focus kwenye masomo yako ya ualimu.. Wote bado wadogo sana utoto mwingi na mna uporipori mwingi.
 
Mimi ni Kijana miaka 22, nipo mwaka wa pili moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu.

Nilipo fika chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana Kuna binti nilimpenda sana, Yy alikuwa mwaka wa tatu diploma ya nursing and midwifery, na nilikuwa na salinae CASFETA apa chuoni, baada ya apo Nika mweleza kwamba mm na mpenda na simtak kwa ajiri ya sex, hapan kwa ajiri ya maisha kiufup tujeng mahusiano hadi apo MUNGU atakapo tuunganisha rasmi kama mke na mume.

Kiukwel Ilikuwa ngumu sana kw yy kukubali mana nilitumia muda mrefu kumwambia lakn Ikawa ngumu sana, nilitumia almost miezi sita, mwezi wa tano mwaka Jana akakubali, tukawa kwenye mahusiano ambayo kiukwel nilitumia Nguvu nyingi sana kuyalinda mana sms nilikuwa natuma mm kiufup huyu binti Hakuwa kama na mpango na mm vile....... Lkan Kila alipokuwa na shida mm nili msaidia, alikuwa akiomba pesa mm na mpa, Wala sikujali jnsi ambavyo Yy ana Ni care.

Mwez wa Saba nikaenda Field kwetu huko magharibi mwa Tanzania, lkan Cha ajabu akanza visa mana yy alibak Mbeya chuo akimaliza masomo yake ya uuguzi, visa vikawa vingi mara anasema tuachane, kiufup akataka tuachane lkan mm nili mbembeleza Sana akatulia.

Nilipo rudi mbeya mwezi wa kumi mwaka Jana kuendelea na mwaka wa pili ndip huyu binti alipo SEMA hataki tuendlee kwenye mahusiano, na hawajih kunipenda na ana ni chukulia kama kaka na anaomba tuwe marafiki wa kawaida, kiukwel nilliumia sana.

Mana Toka nizaliwe sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Nikasema sawa Haina budi japo Moyo uliumia sana na sikujua sabaini ipi ya yeye kusema tuachane, Cha ajabu Toka apo akawa akiwa na shida mm na msaidia kama kawaida Niki Amin kwa kufanya hayo atanipenda.

📌📌 Siku ya Jana nilingea nae kwa simu mana kwao ni apa apa mbeyA, Nika mbembeleza turudiand mana na mpenda majibu alio nipa ni Aya apa chini nimeya bold alituma kwa sms📌📌

"Sina Cha Kuaidi Sababu Sina Hakika Kutmiza Ahad"

"Na Usiweke 2maini Lolote Kwangu."

"Sikupendi Na Sijawah Kukupenda Mungu Shaidi."

"Vng Vya Kufanya Shda Kuna Kizuiz Ndugu Yangu Ni Wewe Ulinishaur Kuusu Kuomb Nimeomba Sasa ,,,mungu Kaonesha Bado Yeye Tu Kutenda Ndio Maana Nimexema 2one Mwisho Itakuaje Maana Mwenyewe Niko Njia Panda Siamin Nilichokiona Na Syo Mala Moja ,,nmeota Ninapete Kwenye Kdore Ujue Na M2 Alie Nivesha Ni Mwngne Kabisa Sijawah Muwaza Wala Kumfikilia Afu Wew Ndio Unaxema Ni Wewe Unanichanganya Ett "

"Me Nakuambia Huu Ni Ukwel Mungu Shaidi Nilipo Hap Njia Panda Hata Sielew ,,"

"Ngja 2one Hatma Yake Itakua Wap Kwenye Ili Jambo Mm Nisikulupuke Maana Wewe Hujakulupuka Umelifkilia Kwa Makn Na Kumuomb Mungu Kama Unavyoxema Na Me Niache Nimuombe Mungu 2one Ad Mwisho"

Wakuu hizo apo ni baadhi ya sms zake, kiukwel roho Ina niuma Saba sijui ni fanye nini, sijawahi mpenda mwanamke Isipokuwa yeye tu. Na. Kuna baadhi ya mambo sipend kuyasema alishafanya kipind tupo kwenye mahusiano mm nikavumila sita ya SEMA.

Kaka, dada, baba na mama zangu naombeni ushauri wenu.
Apo
Dogo acha ufara kozi yenyewe unayoisomea ajira hakuna hivi inamaana huwaoni akina pwayungu wanavyoteseka na maisha
 
Dasa

Dada ni hatar dada yangu nimesha omba Sana kwa Mungu lakn qap
Wanawake wanahisia kama sisi tulivyo. Ukiona unatumia nguvu kwenye mahusiano ujue hayo mahusiano siyo yako unalazimisha.
Acha kumlazimisha binti wa watu. Achana naye na fuata mambo yako.
 
Mwaisa Mdogo wangu Pisi zita kuuwa..Tafuta kwanza kibunda mdogo wangu[emoji23]
 
DAH JUZI TU HAPA KUNA BAHARIA USHIRIKA KAJITIA KITANZI LEO TENA KUNA MWINGINE TUSIPOKUWA MAKINI TUNAMPOTEZA

ONE MAN DOWN OVER!!!
 
DAH JUZI TU HAPA KUNA BAHARIA USHIRIKA KAJITIA KITANZI LEO TENA KUNA MWINGINE TUSIPOKUWA MAKINI TUNAMPOTEZA

ONE MAN DOWN OVER!!!
 
DAH JUZI TU HAPA KUNA BAHARIA USHIRIKA KAJITIA KITANZI LEO TENA KUNA MWINGINE TUSIPOKUWA MAKINI TUNAMPOTEZA

ONE MAN DOWN OVER!!!
 
Sasa ndugu yetu mtu kashakwambia hajawahi na hukupendi hata sasa hivi unataka nini tena? Kitu unachoweza kufanya ni kumpenda kwa kuwa mkweli kwako na kumuombea apate anapopataka na wewe utafute wa kuendana naye.
Usijaribu kamwe kulazimisha kupendwa, kwani wewe unampenda kila mtu? Leo hii akija Dada au mwanamke fulani akasema anakupenda utampenda kwakuwa yeye kasema anakupenda? Na ukitaka kupata mchumba acha kutafuta ila mazingira yatakupatia mke bora kabisa, ipo siku utakutana na mtu utaenda madhabahuni kumshukuru Mungu jinsi alivyokuepusha na huyo unayemlalamikia na kukupa wa maana zaidi.
Yaani kijana upo Mbeya unalalamikia mwanamke utadhani ushafika Tanga, Dar, Arusha, Iringa au hata hapo jirani yenu Njombe achilia nje ya nchi kuona wanawake wazuri na wachamungu
 
Back
Top Bottom