Ndugu zangu nimeanza kujifunza kuhesabu kwa lugha ya kiarabu, tujifunze pamoja tuache kung'ang'ania kiingereza

Ndugu zangu nimeanza kujifunza kuhesabu kwa lugha ya kiarabu, tujifunze pamoja tuache kung'ang'ania kiingereza

Waarabu wengi wahuni (wazee wa dili) ngumu wao kujua lugha nyingine

Ukijua kiarabu unakula nao vizuri.

Usiishie kiarabu tu nenda na kichina nihao!

Alisema Fid Q anae zijua lugha tofauti kote atapaona nyumbani.
 
Mie napendaga tu kiispanyola namba 1 ni UNO, mama watoto namwambiaga nataka uno, anabaki njia panda anipe viuno vya kimakonde au anipe kimoja😋, mie vyovyote vile mradi tu nioate UNO
😂🤣
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu

Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine

Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu

Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi

1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara

Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe

Asubuhi njema wapendwa

Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu
Kuna makosa mengi sana na hasa kwa vile umeandika kwa kutumia lugha ya kizungu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu

Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine

Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu

Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi

1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara

Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe

Asubuhi njema wapendwa

Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu
Kiarabu na kiaramu ni lugha zenye kushabihiana, lugha mama ya Yesu ni kiaramu
1 - Waahed
2- Ithnain
3- Thalaatha
4- Arba'a
5- Khamsa
6- Sitta
7- Saba'a
8- Thamaaniya
9- Tis'a
10- 'Ashara
11- Ihdaa a'shara
12- Ithnaa a'shara - (Thenashara)
Hata kwenye Biblia wanafunzi wa yesu walikuwa 12 na wakaashiriwa kwa thenashara.
Luka 9:1 - Akawaita wale Thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.
 
Kwa upumbavu wenu ndiyo maana mnaona kiarabu hakina maana,mwerevu haishi kujifunza chochote,iko siku kile ulichojifunza kitahitaji kutumika au kukusaidia.
 
Back
Top Bottom