15,000/= day worker?Kaka naona ni kijana mwenye nguvu na kama ulivyosema huchagui kazi, nenda kunakofanyika ujenzi mkubwa mfano shule au hospital niamini mimi kazi zipo kila siku na utaondoka na zaidi ya 15000 kila siku ukijituma.
Uliishawahi kufanya hiyo kazi? Au unasikia wanafanyaKaka naona ni kijana mwenye nguvu na kama ulivyosema huchagui kazi, nenda kunakofanyika ujenzi mkubwa mfano shule au hospital niamini mimi kazi zipo kila siku na utaondoka na zaidi ya 15000 kila siku ukijituma.
Uliishawahi kufanya hiyo kazi? Au unasikia wanafanya
15,000/= day worker?
Sema labda 10,000/= au 7,000/=
upo mkoa gani chief day elfu15?Mimi ndio nalipa watu hivyo kwa kazi wafanyazo site na kama umesoma vizuri nimeandika "UKIJITUMA"
Unaweza fanya kazi na ukaondoka na 3000 tu kwa siku kama utakuwa na uvivu.
Mkuu vipi hope umesoma NIT pale.Na mimi jamani naunga tela.
hali ni tete, sina ajira mwaka wa 5 huu
nina Degree Ya Logistics and Transport Management.
Nipo Mwanza
upo mkoa gani chief day elfu15?
Ndio mkuu.Mkuu vipi hope umesoma NIT pale.
Mkuu naomba nije kufanya kazi hio. Nipo mwanzaMimi ndio nalipa watu hivyo kwa kazi wafanyazo site na kama umesoma vizuri nimeandika "UKIJITUMA"
Unaweza fanya kazi na ukaondoka na 3000 tu kwa siku kama utakuwa na uvivu.
Kabisa yani,kama hana cha kumshauri jamaa bora angekaa kimya kuliko kuandika huu upupu wa kuuza simu.Tushakataa maushauri ya kiwaki kama haya humu, auze simu alafu!!!
Nakucheki PM nduguNjoo Singida nikupe udereva wa bajaj, sasa sijui kama unaweza endesha na una leseni. Kama unaweza ingia inbox. Arusha sio mbali na hapa
Mkuu kama hutojali nifahamishe kuhusu hili jambo.
Poa poa.
muwekee na kiwango cha mshaharakama upo teyari kufanya kazi ya ulinzi
waweza kupeleka maombi yako kwenye ofisi ya ulinzi ya gardaworl ambayo kwa Dar-es-salaam inapatikana mkabala na kituo cha mwinyi ambacho kipo huko mikocheni b...kufika hapo unapanda gari zinazotokea kawe kwenda kariakoo...au zinazotokea temeke kwenda kawe...ama gari zozot zinazoenda kawe zinazopitia moroco
tumia cheti chako cha kidato cha nne tu.....{hakikisha unabeba leaving pamoja na academy}
uwe na kitambulisho cha nida ama namba ya nida
uwe na cheti cha kuzaliwa.
uwe na wadhamini wawili ambao watahitajika....
hakikisha wwe ni mrefu kigezo cha urefu ni cha kuzingaatia sana...