Carldozo
Senior Member
- Sep 30, 2016
- 135
- 187
Mkuu hii ni inshu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ni inshu gani?
Arusha Maeneo gani?Umefanikisha??Nipo Arusha
Nikirudi nitakucheki mkuu, kwa sasa nipo mkoa
kwani yeye ametaka kazi au mshahara...? nadhani wewe ndio mwenye shida ya kujua malipo...kwa kukusaidia kimo cha chini ni 250k baada ya makatomuwekee na kiwango cha mshahara
Bdo ndug yanguArusha Maeneo gani?Umefanikisha?
Mkuu nakuja pmkama upo teyari kufanya kazi ya ulinzi
waweza kupeleka maombi yako kwenye ofisi ya ulinzi ya gardaworl ambayo kwa Dar-es-salaam inapatikana mkabala na kituo cha mwinyi ambacho kipo huko mikocheni b...kufika hapo unapanda gari zinazotokea kawe kwenda kariakoo...au zinazotokea temeke kwenda kawe...ama gari zozot zinazoenda kawe zinazopitia moroco
tumia cheti chako cha kidato cha nne tu.....{hakikisha unabeba leaving pamoja na academy}
uwe na kitambulisho cha nida ama namba ya nida
uwe na cheti cha kuzaliwa.
uwe na wadhamini wawili ambao watahitajika....
hakikisha wwe ni mrefu kigezo cha urefu ni cha kuzingaatia sana...
hahah sawa bosikwani yeye ametaka kazi au mshahara...? nadhani wewe ndio mwenye shida ya kujua malipo...kwa kukusaidia kimo cha chini ni 250k baada ya makato