Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Si umesema hatembei kwa mguu! Hata kama anapaa mtaachana tu!Acha uchawi basi mkuu😁
Daaah!Ukiona mtu anaanza kuulizia ulizia bei za gold ujue tayari mkuu.. [emoji3][emoji3]
[emoji119][emoji119][emoji119]Man Down!
Abort!
I repeat man down!
Is it hangover?
Man down!
Mie vitu ambavyo huwa vinakuwa na upigaji, huwa naepuka kwa kwenda kwenye maduka makubwa yanayo eleweka na kutambulikana.. umenasa mwamba 😀😀 umepagawa kabisa 😀😀 unatuacha na chama letu 😃😃Nipe maujanja bas mwanangu maana hili jiji la fursa siliamini sana
Kauza mechi tayari 😃😃😃Mzee ushanasa Nini!!![emoji1][emoji3577]
Huyo binti atakuwa komando kipensi kweli kweli !
Hongera kwake[emoji3577][emoji3577][emoji1787]
Yaaah ndio huwa testing instrument wanayotumia, wala jewelery haitapata mkwaruzo......Kwahio nikakwangue nikiwa mle mle?
Kanasa huyu [emoji1]Ukiona mtu anaanza kuulizia ulizia bei za gold ujue tayari mkuu.. [emoji3][emoji3]
Hahahah utakuwa una vinasaba na uchawiNi kiwete au anatembelea mabega!? Mtaachana tu!!!!
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiKanasa huyu [emoji1]
Mgumu kalainika[emoji1787][emoji1787][emoji3577]
Man Down!
Abort!..
Safi mkuu tutakuja kula misosi ya mara moja kwa mwaka. bora umeuliza maana kuna watu matapeli, kuna rafiki yangu Mcameroon alinunua pete za ndo kwa Wasomali eti dhahabu baada ya muda akawa ana shida kinoma akaenda kuirudisha wampe pesa, si wakaikataa kuwa eti ile imechanganywa sijui na kitu gani wakati walimuuzia wao. Aliwawashia moto, kumbe wanawapiga watu. Yani aliwawashia moto mpaka wakaipokea na pesa wakatoa.Hatembei kwa mguu tatizo
Kwanza kabisa Hilo pisi linalonunuliwa gold ni la uhakika ? Maana Kuna mtoto wa shangazi hapa home anaingia mwaka wa 35 hata mchumba. Ungeniambia mapema ningekuunganishaKwahio nikakwangue nikiwa mle mle?
Kweli ndoa ngumu, hadi mmeanza kudalalia.Kwanza kabisa Hilo pisi linalonunuliwa gold ni la uhakika ? Maana Kuna mtoto wa shangazi hapa home anaingia mwaka wa 35 hata mchumba. Ungeniambia mapema ningekuunganisha
Mkuu mfungulie uzi wake huyo binamu utapata mtejaKwanza kabisa Hilo pisi linalonunuliwa gold ni la uhakika ? Maana Kuna mtoto wa shangazi hapa home anaingia mwaka wa 35 hata mchumba. Ungeniambia mapema ningekuunganisha