Vumilia tuNdo nshaachika tayari 😬😬😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vumilia tuNdo nshaachika tayari 😬😬😬
Tulikuwa nae vizuri tu sasa nashangaa anamvalisha mtu pete ghafla, Yan mimi hata siku jua, 😢😢,Vumilia tu
Una tako?Tulikuwa nae vizuri tu sasa nashangaa anamvalisha mtu pete ghafla, Yan mimi hata siku jua, 😢😢,
Sijui nifanyeje jamani
Reserve tupoTulikuwa nae vizuri tu sasa nashangaa anamvalisha mtu pete ghafla, Yan mimi hata siku jua, 😢😢,
Sijui nifanyeje jamani
Moyo wangu ulikuwa kwake tu basiReserve tupo
Sio kubwaUna tako?
Fafanua vizuri ukubwa wake ukoje?Sio kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fafanua vizuri ukubwa wake ukoje?
A= snura
B= zari
C= hamisa
Tabia mbaya mlifanya?M
Moyo wangu ulikuwa kwake tu basi
Hapana, hatujawahiTabia mbaya mlifanya?
MI sijui banaFafanua vizuri ukubwa wake ukoje?
A= snura
B= zari
C= hamisa
SawaMI sijui bana
Aisee ndugu ninaweza nikanunua wapi gold coinDhahabu ukiibana kwa pliers inapondeka,
Ukiitilia acid itang'ara zaidi, hata uliiweka kwenye maji itaongeza mng'ao.
Dhahabu haipungui nguvu ya rangi ilonayo. Kwamba unapoikwangua ile njano haifutiki wala kupungua.
Kama unataka kujua hiyo ni dhahabu, kipimo kingine ni kwa kutumia Density.
MashineDhahabu feki huwa inatengenezwa na kitu gani?
Morning Fam,
Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.
Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.
Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.
Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram
Kama unataka kukua Dhahabu halisi nenda Sonara kanunue ilanukitaka kujua na kupima hilo ni zoezi lingine na utazungunga sana. Kwa Dar Jewerly za uhakika zipo mtaa wa Indhira GhandiMorning Fam,
Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.
Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.
Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.
Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram.
Nilipata mkuu sema nimechukulia City Mall pale. Kuna duka linaitwa Gold Palace.Kama uko Dar nenda Indira Gandhi street maduka yako mengi, kama uko Ar nenda metropole street. Huwa naamini maduka ya wahindi zaidi dhahabu zao ni halisi, kuanzia 21k ni poa
Sh ngapi chief?Nilipata mkuu sema nimechukulia City Mall pale. Kuna duka linaitwa Gold Palace.
Wala wake za watu tupo tuletee huyo uraianiMorning Fam,
Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.
Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.
Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.
Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram.