Ndugu zangu nisaidieni ujanja ili nitambue dhahabu halisi na feki

Dah mkuu nikajua unataka kuja chunya tufanye biashara
 
Ila unajua huwezi tumia pure gold kutengeneza vito sababu pure gold ni soft na inatabia ya kulainika kwenye mazingira fulani na kuharibu umbile halisi la pete.

Ila ni lazima ichanganywe kidogo na madini mengine kuipa uimara unaotakiwa iweze kuwa imara na isipoteze umbile lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…