Ndugu zangu UKIMWI is real

Kufa ni Lazima, lakini jitahidi, jihadhari usife kwa UKIMWI basi mpendwa eeehhee....
Kifo kikija kinakuja tu. Haina maana kujihadhari na kifo sababu kinakuja kwa style yoyote.
Arv ndo zinatisha na ndo sababu kuu ya kujilinda na UKIMWI. Jilinde na UKIMWI ili usinywe Arv.
 
sio ameukwaa hali ni tete acheni zinaa uasherati hamtaiona mbingu, mbinguni hakutaingia waasherati na wazinzi watatupwa kwenye ziwa la moto tubuni basi mrejee ndugu Yesu anarudi kuchukua watakatifu
Apostle umekemea kinabii zaidi 🤓
 
Watu hawajali tena.

Tangu 2020 tuna sheria inayoruhusu watu kujipima UKIMWI wenyewe majumbani lakini hata upatikanaji tu wa hivyo vipimo kwenye Pharmacy ni mtihani.

Haviuziki pengine ndiyo maana ila angalia vipimo vya mimba vilivyotapakaa.
 
Halafu bana UKIMWI ni kitu ya ajabu sana hata upige makeup, sijui lipshine, wigi ya aina gani after very few minutes inakosa uelekeko.

Kiufupi makeup zimeganga mwamba kwenye ngoma na zinadunda vilivyo kwa mwenye Ngoma.
Nuru inapotea kabisa inaonekana Nuru artificial ya ARVs dhahiri shahiri
 
pole mkuu
 
Chifu hizi stori zako zimezingatia tupo katikati ya wikend?

Haaa! usitufanyie ivo bana

Kwann usiandike stori za akina makonda tukuongezee likes hapa?
 
Chifu hizi stori zako zimezingatia tupo katikati ya wikend?

Haaa! usitufanyie ivo bana

Kwann usiandike stori za akina makonda tukuongezee likes hapa?
Gentleman ni kubayaaaa,
halafu huyu mgeni alivyo nouma, amekaa patamu kishenzi,
kukwepa yataka moyo sana.....

Ila Ukimwi?????
Ni kitu mbaya sana....
 
Ushayakanyaga tomaso huamini mpaka uone haya emdelea kumeza dawa za kukuzia kuku
 
Ushayakanyaga tomaso huamini mpaka uone haya emdelea kumeza dawa za kukuzia kuku
sawa,
kanyaga vizuri ndugu UKIMWI ni kitu mbaya sana aisee acheni mchezo.
na usije laumu sikukwambia.
na pale unapopita kavukavu ukadhani uko pekeako, na uko safe chunguza vizuri kuepuka majutrooo.....
 
UGONJWA UMEUA NDUGU ZSNGU WENGI.

KAMA UMEUA BABA LAZIMA UTAUA NA BABA MKUBWA AU MAMA MDOGO
Sidhani kama kuna ukoo au familia iliyonusurika na hili Janga la UKIMWI...

Nadhani kwa namna mbalimbali familia zimeguswa na zimegongwa sana na UKIMWI
 
Ulishawahi kumuliza daktari yeyote au mtu wa maabara kama alishawahi kumuona kirusi wa HIV hata kwenye microscope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…