Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Poa shukrani, japo inagoma kusearchSgrticket.trc.co.tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa shukrani, japo inagoma kusearchSgrticket.trc.co.tz
Poa shukrani, japo inagoma kusearch
+ 2hrs ufike pale/3:301:30
Inagoma kwenye kusearch ukishaweka departure na destination, wala sio bundle ..sema ndo mifumo yetu hii..nitajaribu kuingia kwa pc!Check bundle lako
View attachment 3049920
Sio lazima. Ukiwa na tiketi mkononi 20minutes poa tu. Naona wameweka hivyo kuepusha kuacha watu wengi. Wabongo ukiwaambia treni inaondoka saa moja wote watafika saa moja kasoro ndio waanze kukata tiketi.+ 2hrs ufike pale/3:30
Yeah works better on PCInagoma kwenye kusearch ukishaweka departure na destination, wala sio bundle ..sema ndo mifumo yetu hii..nitajaribu kuingia kwa pc!
Hii nchi iliwahi kupata uhuruWadau hamjamboni nyote?
Usumbufu niliopata Leo nikienda Morogoro nimejuta kupanda bus
Sitarajii kutumia tena usafiri huo nikienda Morogoro au Dodoma
Panda treni usipoteze muda wako kupanda bus labda kama unao muda wa kupoteza.
Mchana mwema
Hivi mkuu safari za SGR Dodoma zinaanza liniCheck bundle lako
View attachment 3049920
Alhamisi 25/07 keshokutwa.Hivi mkuu safari za SGR Dodoma zinaanza lini
Haliwezi kubeba abiria woteNi 13,000 bado ila abiria mtihani wakusubiri sana
Asante. Sikuwa na taarifa sahihi nilitaka mtu asafiri keshoAlhamisi 25/07 keshokutwa.
[emoji16]Usumbufu wa Basi unaanzia kibaha Maili moja. Unaanza foleni isiyo na uhakika Hadi Chalinze, makonda hawana nidhamu, hawakai kwenye viti Ni kumsemesha dereva utadhani ndio Mara Yao ya kwanza kupanda Basi. Hakuna ABIRIA wa kike wenye chura za maana wakupe distraction kwenye foleni.