msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Hii maada ni funzo kwetu sisi vijana...solution hapa naona ni kutulia tu.maana kondom utatumia siku ya kwanza na ya pili.siku zijazo pekupeku....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngefenya?...hawezi shtukia huyu![emoji16][emoji16]Atakuzabua akijua [emoji3][emoji3][emoji3]
Bora uambiwe hivo lkn utoke salama!Sasa usiposugua sindio unaambiwa mwanaume wa Dar
Holy shit[emoji134]...nimetoka kubugia mamseto last week!Yes mpendwa vizuri kabisa.
Moguls kibao wanaishi life safi tu hapa mjini to their fine 80's wakiwa tayari walishaivagaa miwaya na habari watu wanazo! Kama life span yako ilikuwa 60+ you'll surely live to that as long as you live healthily!
Hakikisha lina maji ya kutosha Kisha unakamulia ndimu Kisha una kunywa kwa siku 3
There you are!Hahah mungu alivyo wa ajabu anaweza akawa clean huyo ila tu hajiamini maana kapita chocho nyingi! Wale wanaojilinda linda sana ndio wanaumizwaga kizembe sana
Ila unainjoy kavu zaidi, wala usizuge!Yaan ile ndo ilinirudisha matumaini ya sex!
Kavu hapana asee, nitatetemekaa mwili mzima haki tena![emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu watsap upo kimya baadae nakustua mamyHoly shit[emoji134]...nimetoka kubugia mamseto last week!
I wish ningekustua whatsup smh!
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄😄Ila unainjoy kavu zaidi, wala usizuge!
Exactly...Tena madon hawa wa town, wengi wamelivaa hili dude, sema good life hawajali lolote!Moguls kibao wanaishi life safi tu hapa mjini to their fine 80's wakiwa tayari walishaivagaa miwaya na habari watu wanazo! Kama life span yako ilikuwa 60+ you'll surely live to that as long as you live healthily!
Ok kwahiyo kila siku nanunua dafu jipya sio? Limao ngapi nakamulia?Hakikisha lina maji ya kutosha Kisha unakamulia ndimu Kisha una kunywa kwa siku 3
Mkuu mm Mlutheri.Sasa unangoja nini kwa Fursa ya Upadre mkuu, karibu uanze mafunzo St. Johns
Yes inawezekana kweli hili
Moja tu ikiwa na maji vizuriOk kwahiyo kila siku nanunua dafu jipya sio? Limao ngapi nakamulia?
Sent using Jamii Forums mobile app