Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hadi sasa uzi una pages 40Huu uzi utakua na idadi kubwa sana ya watazamaji lkn itakosa wachangiaji...
Anyway ni kawaida yetu hatutak kuambiwa ukweli...
Asante mkuu kwa kutukumbusha ukweli huu mchungu japo HIV sio miongoni mwa magonjwa tishio tena kama ilivyokua hapo awali
Sent using Jamii Forums mobile app