Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Mimi sintosahau nilivyokoswa koswa na Ngoma. Kuna demu nilimtokea mlokole kweli kweli, tongoza nawewe tongoza, mpk akakubali. Siku ya mechi tukapanga, nkaingia gheto na vipimo vya HIV, na condom. Hlf nilikuwa na nyegezi kinoma, nikajiambia huu muda wa kupima wkt nimemtoa mbali kutongoza naupata wapi, nikachukua ndomu kuanza show ya kibabe, piga na wewe. Baada ya kupita km SAA 2 nkajiambia ni muda wa kupiga kavu, nkaona nimpime kwanza. Kumpima kipimo kikasoma positive nilichanganyikiwa, nkaangalia kondomu nilizotumia zikawa zinadamu, yaani msuguo mpk damu zikawa zinatoka ukitoa kondomu. Nilichoamua nkamwambia demu nna dharula job, we sepa. Alivyosepa nkalala kuvuta pumzi kuanza fikiria jeneza, nkaona isiwe tabu nkatafta PEP fasta nilikuwa nazo krb nkaanza dozi, ilikuwa 2017 sintosahau. Miezi 6 kupima negative, mpk Leo tangu siku ile nimeacha uhuni nakumjudge mtu kisa mwenye dini

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh hatarii mzee...[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hili we liache....nimelipitia kwa mapana na marefu.......unajikuta daily machozi yanakutoka .......halafu walivyo wajeuri sasa...bora awe mpole......Mungu tuhurumie.....janga linakuwa janga pale kipato kinapokuwa hafifu......ee Mola naumba utusikie....
Huu ugonjwa unataka pesa pesa pesa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupima mapema na kuanza 'kujitunza' Mtu bado una nafasi nzuri tu ukijilinganisha na mwenye kisukari, presha n.k.

Tatizo ni hilo jina tu la ukimwi.
 
KAPATA MZEE WA UPAKO WEWE N NAN MPAKA USIUPATE?
 
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
Mkuu umeongea ukweli lakini ukiwausia vijana jambo muhimu kama hili wao huleta mizaha yao isiyokuwa na kichwa wala miguu: eti "utalambaje sukari ndani ya mfuko?" Ni kweli kuna baadhi ya wanaume au wanawake ambao wanaweza kutembea na waathirika wasiwaaambukize lakini hiki sio kigezo cha kufanya ngono zembe. Labda niongee kwa lugha rahisi ili vijana mnielewe: Kama kijana unataka kut0mba wewe t0mba sana lakini hakikisha mmepimana virusi kwanza.
 
na kwa kuongezea......karibu familia nyingi umeshatupunguzia ndugu,,,au hata majirari.....tujihadhari sana inaumiza sana ukiwa unauguza ....duh very badly.....tusisahau kuongea na watoto wetu jamani.....vijana wanapukitika balaa....kwenye vituo vya kutoa dawa....kakae siku moja uone....wa mbagala wanachukulia dawa bunju.... piga hesabu muda na gharama.....UKIMWI UPO...asante mleta udhi....
Mkuu utakua na kithethe ila umesema kweli
 
Kinachoniumizaga kuliko vyote ni mtoto kuzaliwa na hili gonjwa kwa makosa ya wazazi wao yaniiii inauma sana katoto kanateseka. Bora siku hizi kuna dawa ila bado kuna watu wakishajua status zao hawataki kwenda klinik kisa wataulizwa why hunyonyeshi?? Inauma inauma mtt mdogo kupata gonjwa hili
 
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.

ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usiende na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.

tujihadhali, ukimwi bado upo,
Ripoti kama inavyoonekana hapo, njombe ni hatariiiiii. ......
Screenshot_2019-04-17-19-23-40.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Speeking from my experience, wanawake wengi hawakumbuki matumizi ya condom kabisa ni wachache sana wanaokumbuka, najuwa wengi mtasema hao wasiokumbuka hawajielewi ila nakwambia ukweli asilimia kubwa ya wananwake wawe wasomi na hata si wasomi, wenye dini na hata wasio na dini, waliotulia na wale malaya hawakumbuki matumizi ya condom wakati wa tendo la uzinzi. Ni mmoja kwa 10.

Kwa wale maplayer mtalithibitisha hili
 
Back
Top Bottom