Yes inawezekana kweli hili
Kwa hiyo wewe wangapi wanakupiga mashine?Of course...sasa unafikiri kuwa unaimiliki peke yako[emoji16][emoji16]
Chako peke yako dunia hii ni kaburi tu!...mengine kushare!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaburi na wale wanaozikwa kwenye kaburi moja mbona wanashea kaburi? Mfano vifo vya wengi huzikwa kaburi moja.Of course...sasa unafikiri kuwa unaimiliki peke yako[emoji16][emoji16]
Chako peke yako dunia hii ni kaburi tu!...mengine kushare!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa hilo dafu moja nakunywa siku tatu au nanunua matatu?Moja tu ikiwa na maji vizuri
nilijua tu kuwa utakuja na hii comment...so nilikuwa nakuchokoza nikuone na ukajaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Kwa hiyo wewe wangapi wanakupiga mashine?
Ukweli kabisa kavu tamu sana...but kila nikikumbuka ile ishu ( mi nimeuguza ndugu kabisa)...stimu zinakata pale pale!Ila unainjoy kavu zaidi, wala usizuge!
Asantee jasiri mwongoza njia, tupo pamojaNaona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
jaribun siku uende CTC za hospital yaan kuna wadada warembo hatari ila ndio waathirika, sasa baada ya kuona hayo akili inaweza kukukaa sawa..!!
Sent usingJamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15]yan mdada kapendeza ghafla...sasa fikiria huyu dada kaanza kutumia dawa akiwa Arusha, baada ya miez 3 akaamua kuhama arusha ili watu wasimsome sana, akaenda maybe Morogoro na akafungua kazi zake na akakodi room yake fresh. Hlf ghafla tu unakutana nae njian unachukua namba, ukarimu upo wa hali ya juu, mnawasiliana weeeee, baada ya hapo ni sexing tuu. Maisha ni fumbo gumu sana na tunakutana na mafumbo meng sana maishanUKIMWI UpoView attachment 1062685
Senkyuu witnessj
Moja kwa siku moja
Ndo ivyo mkuu,tuwe makini sana,UKIMWI upo[emoji15][emoji15]yan mdada kapendeza ghafla...sasa fikiria huyu dada kaanza kutumia dawa akiwa Arusha, baada ya miez 3 akaamua kuhama arusha ili watu wasimsome sana, akaenda maybe Morogoro na akafungua kazi zake na akakodi room yake fresh. Hlf ghafla tu unakutana nae njian unachukua namba, ukarimu upo wa hali ya juu, mnawasiliana weeeee, baada ya hapo ni sexing tuu. Maisha ni fumbo gumu sana na tunakutana na mafumbo meng sana maishan
Kweli kabisa mkuuHaya maisha ni mafupi sana jamani...mtu hata hutakiwi kuteseka, basi tu ya duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani ufanyike uafiti wa idadi ya vifo vya watu wanaojinyonga baada ya kupewa majibu ya VVU kwa style "kijeshi"Namwambia kujipima home!...hospital miyeyusho sana yaan wale manesi hawana customer care!
Watu wanatokaga mle wanaangua vilio kama nini!
Nasikia wakikupima siku hizi hupewi admonition wala at least well recommendation about a certain disease!...Ni unamwagiwa majibu hapo ukajiju[emoji848]...too bad
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa dudu imevaa kitopKuna siku nimeopoa mrembo mahali kajaa king, tukatoka tulipo kutafuta lodge hata hatujafika mbali ananiambia nimpige kimoja cha kwenye gari, pombe mwanaharamu sana ninavua boxer tumbo likaanza kukata mbaya nikavaa fasta nikarud bar kushusha mzigo, kurudi demu ananiambia hataki kwenda lodge nimkaze kwenye gari namwambia sina condom anasema hapendi, ila pombe iache kama ilivyo nikaenda kupaki chocho ile anavua kubukta chake apande defender hili hapa, mzee baba siti iko chini boxer ipo miguuni...case iliisha ila nina uhakika ile siku Mungu aliamua kuniokoa na gonjwa hatari...tuwe makini. unaweza kutumia condom na isisaidie unapiga kazi unamaliza unakuta dudu imevaa kitop tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natamani ufanyike uafiti wa idadi ya vifo vya watu wanaojinyonga baada ya kupewa majibu ya VVU kwa style "kijeshi"
Zamani mtoa ushauri anaangalia "mhemuko" wa mgonjwa kabla hajampa majibu yake na ikibidi anakwambia njoo kesho ili kumpa nafasi ya kujitafakari...sasa hivi bi dada nesi anakupa majibu yako huku anachati insta, ukiangua kilio anakuuliza " cha ajabu nini?
Kibaya zaidi na dawa unapewa siku hiyo hiyo...