[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ajitangaze ili umnyanyapae?Humu ndani Kila mtu analeta story za watu wengine hakuna hata anayekiri kuwa ameukwaa yan humu wote ni wazma?
Sent using Jamii Forums mobile app
propaganda ndio zipoje chief?
Ahaaa dadadaeeeeiiiiikkkkkii..Moja tu ikiwa na maji vizuri
Aisee yaani wew unawaza k tu hii ni dawa ya Maralia 🤣🤣🤣🤣Ahaaa dadadaeeeeiiiiikkkkkii..
Hii tamu sana, nina game leo jioni ya kimrembo fulani mchepuko wacha nijaribishe hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Condom inaweza fanya ladha ikawa kama kavuu...Hata iuzwee mil 100 mamaee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...
Ni kweli ndomu inachubua, na ukishachubuka ladha ya mapenzi inakata!
But ukinunua expensive condom hayo yote huwezi kuyasikia!...Ni kama mnakulana kavu tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]Aisee yaani wew unawaza k tu hii ni dawa ya Maralia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee endelea kula kavu tu[emoji16][emoji16]Hakuna Condom inaweza fanya ladha ikawa kama kavuu...Hata iuzwee mil 100 mamaee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Najikutaga nimevaa ilaa baada ya dak 30 hivi oohoo...!! Sijui hata imekuwajee...mwendo wa nyamaa tuu
Duuh...utapenda utamu[emoji16]Najikutaga nimevaa ilaa baada ya dak 30 hivi oohoo...!! Sijui hata imekuwajee...mwendo wa nyamaa tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wote mtapima why mvae kinga ni mwendo wa kavu tu
Ukimwi haupimwi kwa siku moja brother, Je unafahamu kuwa CD4 zikipanda mwenye virus anaweza kupima na akaonekana mzima? Waliopata ukimwi wote hawakupenda na pengine walijitunza sana kuliko wewe.
Ukimwi hautabiriki, na sikuizi kuna njia nyingi za kupunguza kasi ya virus kishambulia seli lakini hiyo haimaanishi hauwezi kuenea kama ngono zitafanyika kizembe namna hiyo.
Kuna dada tunaheshimiana sana na huwa ananiomba ushauri mara nyingi akipata tatizo. Yeye anaishi na virus vya ukimwi kwa miaka mingi sana lakini ukimuona huwezi kumjua na ameumbika haswaa.
Kuna tembe fulani zinaitwa PEP na PREP, hizi zinatumika kuzuia maambukizi pia mama wajawazito wenye maambukizi hutumia dawa hizi kumkinga mtoto dhidi ya maambukizi.
Aliniambia yeye huwa akizitumia dawa hizo Japo ni mwathirika lakini ukimpima akiwa ameshatumia dawa hizo huwezi kupata reaction kwamba yeye ni HIV +. Kuna jamaa ameishi naye kama mchumba wake kwa muda sana bila kujua mwanamke ni mgonjwa maana walienda kupima akaonekana ni mzima.
Kwaiyo cheza salama lakini ikitokea bahati mbaya umepata maambukizi sio mwisho wa maisha, sikuizi wenye ukimwi wanaishi maisha marefu pia ukipima ukawa salama usijiamini sana kwamaana leo wewe ni mzima kesho utakua mgonjwa, kuugua sio kufa.
Nina dada yangu wa tumbo moja alipata maambukizi hayo mwaka 1993 kipindi ambacho Ukimwi ulikua ni tishio sana, amezaa watoto wanne (4) na wote wako salama. Hajawai kuwanyonyesha lakini wote wamekua.
Leo hii tunaongea ametimiza miaka 26 akiwa na HIV lakini ukikutana naye pamoja na kuwa ni mgonjwa huwezi kuamini. Ana shape nzuri na mwili wake umenawiri kama binti alieanza kubalehe, matiti yake bado yamesimama pamoja na umri wake.
Kama Mzima mshukuru Mungu na uache zinaa na kutamani wanawake wazuri, shetani hupenda kukaa sehemu nzuri.
Mkorintho wa 6
Kuna jamaa ana hii ishu....sasa siku namuuliza mbona hana wasiwasi huu ugonjwa hauumizi?
Akasema walaaa yaan eti mzima na yy anayeumwa wote sawa!...ila sikuamini hayo maneno yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu...anko angu anagonga mwaka wa 14 huu...anakula arv na yuko fit kinoma!
Sema anatembeza dudu balaa...wale watu hawataki kuondoka peke yao!
Sent using Jamii Forums mobile app