Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Tulio na ndoa tuziheshimu ndoa zetu,Vijana wetu mjitunze yaani mbaya zaidi mko katika hatari mbaya maana wazazi wenu sikuhizi hatuna roho ya huruma tunaongoza kuwafatilia,kila mmoja amuhofu Mungu maishani mwake,hata kwenye Biblia inasema dhambi zote hufanyika nje ya mwili ila zinaa ni ndani yako kabisa,tujitahidi kuyatunza haya mahekalu ya Mungu,ni shetani tu anatutesa na kutuonesha utamu wa mbunye lakini hakuna aliyekufa kwa kukosa mbunye,ni vile mawazo yakizidi sana na mwili umewasha tamaa unaona kama unarauka kumbe wala hamna chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) tangulini uka ua mtu.!!???? Ni kama kusema Upungufu wa Mbegu za Kiume eti una ua mtu, uliwahi ona wapi.??

MGC
this capacity means you are in progress to get it anytime!
 
Nyumbani kwetu kuzuri
tapatalk_1554357271430.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
propaganda ndio zipoje chief?

Mkuu embu kawaulize wazungu kama walishawai kumuona hiv virus. Waulize pia tangu lini upungufu wa kinga mwilini ukasababishwa na virus.
Ukimwi ni biashara kama biashara nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...

Ni kweli ndomu inachubua, na ukishachubuka ladha ya mapenzi inakata!

But ukinunua expensive condom hayo yote huwezi kuyasikia!...Ni kama mnakulana kavu tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Condom inaweza fanya ladha ikawa kama kavuu...Hata iuzwee mil 100 mamaee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwi haupimwi kwa siku moja brother, Je unafahamu kuwa CD4 zikipanda mwenye virus anaweza kupima na akaonekana mzima? Waliopata ukimwi wote hawakupenda na pengine walijitunza sana kuliko wewe.

Ukimwi hautabiriki, na sikuizi kuna njia nyingi za kupunguza kasi ya virus kishambulia seli lakini hiyo haimaanishi hauwezi kuenea kama ngono zitafanyika kizembe namna hiyo.

Kuna dada tunaheshimiana sana na huwa ananiomba ushauri mara nyingi akipata tatizo. Yeye anaishi na virus vya ukimwi kwa miaka mingi sana lakini ukimuona huwezi kumjua na ameumbika haswaa.

Kuna tembe fulani zinaitwa PEP na PREP, hizi zinatumika kuzuia maambukizi pia mama wajawazito wenye maambukizi hutumia dawa hizi kumkinga mtoto dhidi ya maambukizi.

Aliniambia yeye huwa akizitumia dawa hizo Japo ni mwathirika lakini ukimpima akiwa ameshatumia dawa hizo huwezi kupata reaction kwamba yeye ni HIV +. Kuna jamaa ameishi naye kama mchumba wake kwa muda sana bila kujua mwanamke ni mgonjwa maana walienda kupima akaonekana ni mzima.

Kwaiyo cheza salama lakini ikitokea bahati mbaya umepata maambukizi sio mwisho wa maisha, sikuizi wenye ukimwi wanaishi maisha marefu pia ukipima ukawa salama usijiamini sana kwamaana leo wewe ni mzima kesho utakua mgonjwa, kuugua sio kufa.

Nina dada yangu wa tumbo moja alipata maambukizi hayo mwaka 1993 kipindi ambacho Ukimwi ulikua ni tishio sana, amezaa watoto wanne (4) na wote wako salama. Hajawai kuwanyonyesha lakini wote wamekua.

Leo hii tunaongea ametimiza miaka 26 akiwa na HIV lakini ukikutana naye pamoja na kuwa ni mgonjwa huwezi kuamini. Ana shape nzuri na mwili wake umenawiri kama binti alieanza kubalehe, matiti yake bado yamesimama pamoja na umri wake.

Kama Mzima mshukuru Mungu na uache zinaa na kutamani wanawake wazuri, shetani hupenda kukaa sehemu nzuri.

Mkorintho wa 6

Uongo
 
Kuna jamaa ana hii ishu....sasa siku namuuliza mbona hana wasiwasi huu ugonjwa hauumizi?

Akasema walaaa yaan eti mzima na yy anayeumwa wote sawa!...ila sikuamini hayo maneno yake!

Sent using Jamii Forums mobile app

Yupo sahihi, ameshinda Stigma.

Stigma ni mbaya sana, wale ambao hawajajikubali na wamenyanyapaliwa hupata magonjwa nyemelezi na clinical failure mapema sana
 
Sio kweli mkuu...anko angu anagonga mwaka wa 14 huu...anakula arv na yuko fit kinoma!

Sema anatembeza dudu balaa...wale watu hawataki kuondoka peke yao!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama anatumia dawa vyema, viral load hushuka na cd4 kupanda vizuri..... Mara nyingi wagonjwa wa hivi hawana maambukizi.

U=U, meaning Undetectable=Untrasmittable
 
Back
Top Bottom