Ila condom zinaumiza uke jamani mmmh!
Mi mpaka naonaga nistopishe nikianza kuwaza ndomu khaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ikifika ntaenda tu, iwe nmeambukizwa au bado...Ukitaka wewe tangulia mkuu!
Very strong and matured mentality mkuuKufa sio kizembe, yani uanze kujiua uache prado, vanguard, warembo wakali akati mwili ukiwa na nguvu wala hujaanza kuumwa na dawa zipo? Hahah labda uwe umechapa mbaya! Ila kama Jax lipo unasongesha na life kibishi uku unapiga mamedicals
Hajafikiria kwa mapana mkuu, ukiwa na majukumu na watu wanaokutegemea nyuma yako utaona umuhimu wa wewe kuwa hai no matter what!Very strong and matured mentality mkuu
Watu wameishi na HIV miaka 25 na zaidi (tena wengine ni watoto waliozaliwa nao) na wengine wamekuja kufa kwa mambo mengineyo hlf kuna mwanaume anawaza kujiua
Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...
Ni kweli ndomu inachubua, na ukishachubuka ladha ya mapenzi inakata!
But ukinunua expensive condom hayo yote huwezi kuyasikia!...Ni kama mnakulana kavu tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Seek psychological help, ungekuwa nesi au daktari unaonekana hata pussy isingetoa maji mileleUkweli kabisa kavu tamu sana...but kila nikikumbuka ile ishu ( mi nimeuguza ndugu kabisa)...stimu zinakata pale pale!
Yaan kama vile ile hali inanihaunt..u see!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15]yan mdada kapendeza ghafla...sasa fikiria huyu dada kaanza kutumia dawa akiwa Arusha, baada ya miez 3 akaamua kuhama arusha ili watu wasimsome sana, akaenda maybe Morogoro na akafungua kazi zake na akakodi room yake fresh. Hlf ghafla tu unakutana nae njian unachukua namba, ukarimu upo wa hali ya juu, mnawasiliana weeeee, baada ya hapo ni sexing tuu. Maisha ni fumbo gumu sana na tunakutana na mafumbo meng sana maishan
Sio kila washirikio ngono ni wapenzi swala la kupima ni mtu na mpenzi wake kinga inapunguza maambukiziKama wote mtapima why mvae kinga ni mwendo wa kavu tu
Natamani ufanyike uafiti wa idadi ya vifo vya watu wanaojinyonga baada ya kupewa majibu ya VVU kwa style "kijeshi"
Zamani mtoa ushauri anaangalia "mhemuko" wa mgonjwa kabla hajampa majibu yake na ikibidi anakwambia njoo kesho ili kumpa nafasi ya kujitafakari...sasa hivi bi dada nesi anakupa majibu yako huku anachati insta, ukiangua kilio anakuuliza " cha ajabu nini?
Kibaya zaidi na dawa unapewa siku hiyo hiyo...
😲😲Cancer una kaa miezi Sita tu 😢😢Ha ha ha
Eti cha ajabu nini?
Na dawa unapewa siku hiyo hiyo....
Kweli cha ajabu nini kuwa na HIV, ilihali Ina dawa na watu wanaishi nao hata miaka 30 wanakuja kufa na vitu vingine.... Majibu mabaya ni kama vile kuambiwa una kansa hii na haina matibabu na una miezi 6 tu ya kuishi
Mkuu naomba nijanzie nyama sijakuelewaSio kila washirikio ngono ni wapenzi swala la kupima ni mtu na mpenzi wake kinga inapunguza maambukizi
I second you mkuu, kavu haina mlinganisho na condom ya aina yoyoteHakuna Condom inaweza fanya ladha ikawa kama kavuu...Hata iuzwee mil 100 mamaee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ile mmekutana safarini mehemko ikawapanda na kwenye starehe na kama hivyo.Mkuu naomba nijanzie nyama sijakuelewa
🤣🤣🤣🤣 kwa nn nduguHuu uzi utakua na idadi kubwa sana ya watazamaji lkn itakosa wachangiaji...
Anyway ni kawaida yetu hatutak kuambiwa ukweli...
Asante mkuu kwa kutukumbusha ukweli huu mchungu japo HIV sio miongoni mwa magonjwa tishio tena kama ilivyokua hapo awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks kwa kunielewesha hapo mkuu nilikuwa najizungumzia mimi maamuzi yangu juu ya hii kituKuna ile mmekutana safarini mehemko ikawapanda na kwenye starehe na kama hivyo.
Bata si huwa anatembea vibaya vibaya?Kuna maeneo nimepita dogo mmoja anamsifia mdada mmoja nzuri anatembea kama bata na kesho anapanga akapige shoo, natamani angeuona huu uzi
Lakini wanasema kuna window period yani virusi havionekani kwa vipimo lakini vinaweza sambazwa kama kawa.kwa iyo hakuna usalama.mm alikuja sehemu ya tukio na vipimo vyake , tukajipima wote kabla ya mechi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huo ni mfano tu, ila inategemea stage uliyoikuta na aina ya kansa😲😲Cancer una kaa miezi Sita tu 😢😢
Ila pale ulimhoji mtu na si wewe.cha ajabu zaidi hata wewe unaweza kuliwa bila kutarajia tena ukiongoza mashambulizi.Thanks kwa kunielewesha hapo mkuu nilikuwa najizungumzia mimi maamuzi yangu juu ya hii kitu