Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Mkubwa sana mkuu, especially viral load ikiwa undetectable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujui utofauti wetu na wao!Kwangu haiwezekani mkuu kifupi naweza kuzuia mihemko yangu sio rahisi kiivyo.
Yaani huwa nashangaa ukutane na lijamaa kwenye gari siku hiyo hiyo mnanii aiseee hiyo ni zaidi ya nyegeziHaujui utofauti wetu na wao!
Mwanamke anaweza kukaa mpaka akasahau na asijihisi genye...wao kitu kidogo tu dudu lao linateseka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndomu zingine ni zipi nzuri na expensive ones?Usi shawishike utam ni ulele sema unachelewa tu na inategemea na aina ya kondom
Nataka nihamie kwenye mapilau mazima mazima, unakuwa safe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatupo salama tena.[emoji2]yani kula pipi na maganda!?
Si ndo hapo..Halafu watu wanaongea vitu nusu watuambie tujifunze
Kila uliyelala nae unahisi ndo kakuambukiza...unajikuta uko kwenye denial yaaan!Unaambukizwa alafu unabaki kuwaza umeutoa wapi[emoji134][emoji134][emoji134]
Unavihitaji Wit?
Hapana dear!Kuna wengine wanatoa ushuhuda hawatumii dawa na Afya iko njema
Ok ok..Kwasababu ili uwe na maambukizi unahitaji kuwa na virus wa kutosha kwenye mzunguko wako wa damu.... Ndiyo maana mtu aliyeambukizwa recently anakuwa na maambukizi makubwa sana kwasababu virus wanakuwa wanazalishwa kwa wingi kwenye mwili wakati huo mwili wako ukipigana kujaribu kushusha hao virus.
Sasa mtu anayetumia dawa maana yake anazuia replication ya wadudu kiasi kwamba mzunguko wa virus kwenye damu inakuwa ndogo sana mpaka katika level ya kuwa labda copies chini ya 5 au undetectable level.... Sasa hapa huyu mtu in terms ya maambukizi na afya yake anakuwa hana tofauti na mtu ambaye hana
Kabisa!...I don't know, but is rare cases.... Kuna bwana mmoja ni miaka 14 hajawahi kutumia dawa na viral load ipo kwenye level ya less than 5 copies.... Hizi ni one of the rare cases
[emoji1787][emoji28]Ha ha ha sasa unafikiri na sisi wanaume hatupendi kusugua?
Kusugua Ina raha yake ya kipekee asikuambie mtu.
Umenikumbusha swali hapa!Hamna test inayoweza kukupa false Negative,,,, Bioline tu mnayojipima nayo mtaani Ina sensitivity ya 100%.(haina false negative)
Hizo story za coca, sijui Pepsi hamna kitu km hicho
Yaani, matokeo yake ndio hayo roho ya kishetani inakuingia.Kila uliyelala nae unahisi ndo kakuambukiza...unajikuta uko kwenye denial yaaan!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndomu mizinguo!Kwel yaan,maana HV niliviagiza kwa bro wangu mmoja huko mkoanj,yy n nesi ....ila kwenye maduka n mbinde sana yaan......
Condom nayo duuuuh,sitaki kusema sana[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu ifafanue hii Viral load undetectable mkuuMkubwa sana mkuu, especially viral load ikiwa undetectable
Hahaa...ila Kuna wanawake wengine wee[emoji1787][emoji28][emoji28]Yaani huwa nashangaa ukutane na lijamaa kwenye gari siku hiyo hiyo mnanii aiseee hiyo ni zaidi ya nyegezi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]...unataka kunisaidia mkuu?Unavihitaji Wit?
Eeeh[emoji134][emoji134]...kwahiyo wanawake ndo rahisi kuambukizwa eeh?Viral load ikiwa undetectable labda awanyunyuzie damu Lita moja.... It is difficult my dear.
Hivi unajua kwa mwanaume kuambukizwa na mwanamke HIV chance yake ni 0.38%, tena hapa ni kwa yule ambaye hatumii dawa?