Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Nasikia pia kama unao kabla ya kupima ukinywa Pepsi vipimo vinatoka Safi huna.
Mnadanganyana hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia pia kama unao kabla ya kupima ukinywa Pepsi vipimo vinatoka Safi huna.
Kuwa makini zaidi , siku hizi kuna kinywaji ukinywa kama ni positive.kile kipimo kinakuonyesha upo negative.
Njia nzuri ya kumpima mtu ni lala nae usiku kucha ai shinda nae mchana hakikisha hanywi COCACOLA, Mda wa masaa ata 12 mkiamka asubuhi mkapime.
Mgonjwa wa HIV akinywa cocacola kipimo kinaonyesha negative.
Na hiyo njia waathirika wengi wanaijua hivyo ukimwambia kupima anatoka nyumbani akiwa kajishindilia cocacola akifika kupima unakuta negative
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamu ulee aisee..hatarii snaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu kuweka Ukimwi palee hapana alituweza aiseee
Unaweza pima leo mwenzio alipata week iliyopitaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wote mtapima why mvae kinga ni mwendo wa kavu tu
We nae watu tunapeana moyo na matumaini 🤣🤣🤣🤣halafu hili swali nimemuuliza Ecky kimyUnaweza pima leo mwenzio alipata week iliyopitaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimwi upo jamani. Kuna siku Nilikwenda pale Sinza palestina kumwona Dr mmoja. Sasa office ya yule Dr inaangaliana na lille Jengo waathirika wanachukua Dawa. Nilimkuta jirani yangu anawapa elimu wenzake kutosahau kunywa dawa. Tena anasema "binti yangu huwa ananikumbusha baba dawa maana nilishamweleza awe ananikumbusha "Mara paapu tukakutanisha macho mweh alibadili somo akaanza kuongea vitu vingine tu. Tena pale mtaani walikuwa wanasema kaungua yule
Siku ile ndo niliamini
Jamani HIV is real. Chezeni salama
.
Binafsi nimekuelewa sana mkuuNaona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
Yaaan mi ningekuwa mwanaume nisingesugua K wala nini[emoji848]...kwanza ili nigundue nini?
Ningejiwekea pilau tuangalie mi na demu wangu akilowana na mimi nimedindisha karibia napiz, namuingizia dudu fasta nakojoa nachomoa!...yy akitaka kukojoa atajiju[emoji57]
Nisingesugua K kamwe mweeh!..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata mkuu,lakini ni afadhari ujiridhishe kidogo kuliko kwenda kichwakichwa.Ukimwi haupimwi kwa siku moja brother, Je unafahamu kuwa CD4 zikipanda mwenye virus anaweza kupima na akaonekana mzima? Waliopata ukimwi wote hawakupenda na pengine walijitunza sana kuliko wewe.
Ukimwi hautabiriki, na sikuizi kuna njia nyingi za kupunguza kasi ya virus kishambulia seli lakini hiyo haimaanishi hauwezi kuenea kama ngono zitafanyika kizembe namna hiyo.
Kuna dada tunaheshimiana sana na huwa ananiomba ushauri mara nyingi akipata tatizo. Yeye anaishi na virus vya ukimwi kwa miaka mingi sana lakini ukimuona huwezi kumjua na ameumbika haswaa.
Kuna tembe fulani zinaitwa PEP na PREP, hizi zinatumika kuzuia maambukizi pia mama wajawazito wenye maambukizi hutumia dawa hizi kumkinga mtoto dhidi ya maambukizi.
Aliniambia yeye huwa akizitumia dawa hizo Japo ni mwathirika lakini ukimpima akiwa ameshatumia dawa hizo huwezi kupata reaction kwamba yeye ni HIV +. Kuna jamaa ameishi naye kama mchumba wake kwa muda sana bila kujua mwanamke ni mgonjwa maana walienda kupima akaonekana ni mzima.
Kwaiyo cheza salama lakini ikitokea bahati mbaya umepata maambukizi sio mwisho wa maisha, sikuizi wenye ukimwi wanaishi maisha marefu pia ukipima ukawa salama usijiamini sana kwamaana leo wewe ni mzima kesho utakua mgonjwa, kuugua sio kufa.
Nina dada yangu wa tumbo moja alipata maambukizi hayo mwaka 1993 kipindi ambacho Ukimwi ulikua ni tishio sana, amezaa watoto wanne (4) na wote wako salama. Hajawai kuwanyonyesha lakini wote wamekua.
Leo hii tunaongea ametimiza miaka 26 akiwa na HIV lakini ukikutana naye pamoja na kuwa ni mgonjwa huwezi kuamini. Ana shape nzuri na mwili wake umenawiri kama binti alieanza kubalehe, matiti yake bado yamesimama pamoja na umri wake.
Kama Mzima mshukuru Mungu na uache zinaa na kutamani wanawake wazuri, shetani hupenda kukaa sehemu nzuri.
Mkorintho wa 6
Kuna msichana kitaa kwa Sasa nafikili ana age ya 16 kaachiwa ugonjwa na wazazi wake katoto kazuri chura ya ukweli huko shule tayari kashaanza kuwapanga vidume
Kapime tena mkuu.Wiki moja iliyopita nikapata demu,kutokana na kazi yake nikajua huyu anakutana na wanaume kibao,maana mtoto ana sifa zile ambazo wanaume wengi tunaanzia kuzitazama kabla hatujaenda deep,
Nikarusha vocals mtoto akanilewa,na hata tulipopanga kukutana alifika kiroho safi,kuomba mzigo ndipo nilipompendea zaidi,maana alikataa katakata twende tukapime kwanza,condom alisema hapendi kabisa,kwa kuwa sikuwa na shaka huyooo mpaka laboratory tukapima then tukarudi room kupiga show ya kibabe,nilipanga kulala naye usiku mmoja,lakini kwa kuonesha anajari afya yake nikaongeza na siku ya pili tukala raha na jana ndipo tukarudi sehemu zetu za kazi.
Wanawake wakiwa na msimamo kama wa huyu demu hakika UKIMWI tutauepuka,maana wanaume huwa hatukumbuki kabisa swala la afya pale kichwa cha chini kikizidiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asiyechangia atakuwa amepigwa jiwe tayariHuu uzi utakua na idadi kubwa sana ya watazamaji lkn itakosa wachangiaji...
Anyway ni kawaida yetu hatutak kuambiwa ukweli...
Asante mkuu kwa kutukumbusha ukweli huu mchungu japo HIV sio miongoni mwa magonjwa tishio tena kama ilivyokua hapo awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri.Kuwa makini zaidi , siku hizi kuna kinywaji ukinywa kama ni positive.kile kipimo kinakuonyesha upo negative.
Njia nzuri ya kumpima mtu ni lala nae usiku kucha ai shinda nae mchana hakikisha hanywi COCACOLA, Mda wa masaa ata 12 mkiamka asubuhi mkapime.
Mgonjwa wa HIV akinywa cocacola kipimo kinaonyesha negative.
Na hiyo njia waathirika wengi wanaijua hivyo ukimwambia kupima anatoka nyumbani akiwa kajishindilia cocacola akifika kupima unakuta negative
Sent using Jamii Forums mobile app
Wembe ni ule ulee...unakataa balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kavu zitawauaaWe nae watu tunapeana moyo na matumaini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu hili swali nimemuuliza Ecky kimy
View attachment 1062697
Tupunguze mihemko male,UKIMWI saiz unanawirisha
Nitarudia mkuu,japo nilitumia kipimo moja matata hata kama umeudaka jana kinakupa results.Kapime tena mkuu.
Aiseee kumbeMtumia dawa huyu, maambukizi yake yapo chini chini mno.... Ogopa kukutana na Mgonjwa asiyejijua kama ni Mgonjwa halafu hayupo kwenye ARV, hata mate yake yanaweza kukuambukiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]