Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Ha ha haaa utakua hupendi mwwndo wake ila anamdaha flan hivi kama anadwka mwendo wakeBata si huwa anatembea vibaya vibaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa utakua hupendi mwwndo wake ila anamdaha flan hivi kama anadwka mwendo wakeBata si huwa anatembea vibaya vibaya?
😂😂mabeberu hawatutaki mema..
Wengi wako hivoo asee!Ni kweli kabisa, kuna mmoja anadai aliletewa hakuutafuta hivyo lazima nae aondoke na wake.
Hapa ndio patamu sasa ewww[emoji134]Lakini wanasema kuna window period yani virusi havionekani kwa vipimo lakini vinaweza sambazwa kama kawa.kwa iyo hakuna usalama.
Kwangu haiwezekani mkuu kifupi naweza kuzuia mihemko yangu sio rahisi kiivyo.Ila pale ulimhoji mtu na si wewe.cha ajabu zaidi hata wewe unaweza kuliwa bila kutarajia tena ukiongoza mashambulizi.
hujafa hujaumbika
Afadhali maana nilistuka mnoHuo ni mfano tu, ila inategemea stage uliyoikuta na aina ya kansa
Yaani na hivi hili gonjwa ni kama halipigiwi kelele sana ndio litatumaliza maana tunalichukulia poa.Wengi wako hivoo asee!
Anatafuta jinsi ya kuambukiza badala ya kutubu yaaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huwa inakuwaje eti??Kusex na mtu mwenye HIV haimaanishi kuwa ndiyo umeshaupata mkuu
Ilifaa arudi kwa mola wake nakuomba toba.Ni kweli kabisa, kuna mmoja anadai aliletewa hakuutafuta hivyo lazima nae aondoke na wake.
[emoji16][emoji848][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28] haya buanaSeek psychological help, ungekuwa nesi au daktari unaonekana hata pussy isingetoa maji milele
Afadhali maana nilistuka mno
Umesha vuka myaka 30?Kwangu haiwezekani mkuu kifupi naweza kuzuia mihemko yangu sio rahisi kiivyo.
Huo uwezekano ni wa % ngapi?Ilifaa arudi kwa mola wake nakuomba toba.
Nimesoma hapo juu watumiaji wa dawa upo uwezekano kuto ambukiza
Hebu nieleweshe vizuri hapa...nakosa mautamu hivi hivi kisa uoga[emoji134]Ukipata mtu NENDENI mkachangie damu, kile kipimo Chao cha HIV kinaonesha maambukizi hata ya ndani ya siku 3.
Mkitoka mpo poa mnalambana kavu kavu tu..... Kavu tamu aseeeh, asikuambie mtu
Kipimo gani hicho?Nitarudia mkuu,japo nilitumia kipimo moja matata hata kama umeudaka jana kinakupa results.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee usinambie[emoji134][emoji134]Mtumia dawa huyu, maambukizi yake yapo chini chini mno.... Ogopa kukutana na Mgonjwa asiyejijua kama ni Mgonjwa halafu hayupo kwenye ARV, hata mate yake yanaweza kukuambukiza
Hapa ndo sielewi kwanini hana maambukizi?Kama anatumia dawa zake vyema basi anakuwa hana maambukizi
Hapana bali jirani yangu amekufa week mbili zilizo pita alikuwa nayo cancer ya ziwa toka agundue hata miezi mitatu haikufika amefariki 😢😢Kwani kuna Mgonjwa wa kansa aliye karibu yako?